Leo nimewaza mengi sana, Nilipokua barabarani kwa mtogole pale nimekutana na kundi la watu wengi sana wamevalia mavazi mbali mbali ya kiyanga, ofcorse nimefurahi sana Yanga kushinda maanake watani wangu wanaongeaga sana, ila baada ya kupishana nao Moyo ukafanya "paaaa" yaani nikahisi Fisiem ndo imeshinda jamaa wanashangilia, Roho imeniuma kweli mpaka nimewaza niache kuishabikia YANGA IMARA, manake zile rangi zinaniumiza. Nikifanikiwa kuihama yanga nitarudi kwa timu ya taifa ya Brazil, wakibadilisha rangi tutarudi ushabikini.