sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,163
Wapo wanene watamu, yaani ni mlaini huwezi amini, akikupa ile ya kifo cha mende, ukimzamishia huku paja zake nene zinaku limit usiende zaidi, unakuwa kama umelalia bonge la sponge, ila nao wana raha sana wanene, labda umkute amekomaa hajui kukunjika.hizo styles wanene hatuelewi.unaongea nn
Safi sanaMi siku hizi huku porini nakula embe na mafenesi pamoja na mananasi, ndo msimu wake huu unakula unashiba ,ugali nakutana nao usiku, tena kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo wanene watamu, yaani ni mlaini huwezi amini, akikupa ile ya kifo cha mende, ukimzamishia huku paja zake nene zinaku limit usiende zaidi, unakuwa kama umelalia bonge la sponge, ila nao wana raha sana wanene, labda umkute amekomaa hajui kukunjika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapiga kimoja (me) fasta unakimbilia kwenye friji kuchukua maji ya kunywa ili kupoza rejeta....mimi mafuta inachemka!
eti wakati we unajichukia nanunaona kabisa umeelemeww na mwili halafu unakutana na mwana anakuambia naona mambo sio mabaya full shavu daah namchekiiii halafu kimoyo moyo nammegea tusi naona kama ananikejeli na mana muda wote niko na chupa la maji kubwa na kitaulo cha jasho beganimwili mkubea unatesa sana walahi,sasa mtihani muda wa kuvaa viatu,soksi au kukata kucha za miguuni
Umesahau kusinzia hovyo, hii ni dalili kubwa pia.
Mtu unapiga nae stori mara unasikia mkoromo "kruu druu kruuu druuu".
Sidhani Kama itakusaidia sana Mkuu. Mchana kula vizuri na pia kiwe chakula cha kushiba.... Usiku kula Matunda pekee .
Vipi bado hujaona mkuu?
Bonge kumbe ni ww bwana!Namba 1 na 5 siyo za lazima kutokea. Ila kuna namba zinanihusu hapo ila nishaanza mpango mkakati wa 2019 kudhibiti hili tatizo hasa namba nne kutoka kwa majirani
Halafu hili suala la unene linaongewa kirahisi sana na kila mtu.Utasikia punguza kula,Fanya mazoezi.
Kwanza kupunguza kula sio tiba ya kupunguza unene.
Na pili kufanya mazoezi hakusaidii kupunguza unene.
Unahitaji kujua ule nini na si suala la kula kidogo tu.Kazi ya mazoezi ni kuimarisha msuli wa mwili tu.
Katika kupunguza uzito,kuchagua aina ya chakula kunachangia kupunguza uzito kwa 70% na mazoezi ni 30% tu.
Unahitaji kujifunza kuhusu insulin resistance.Hii ikishatokea,huwa ni vigumu sana kupunguza uzito.Ila unatakiwa kujifunza kuishi na uzito mkubwa.
Ni somo refu nitaendelea Siku nyingine nikipata muda
Sent using Jamii Forums mobile app