kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,233
- 12,508
Siku ukiona watu hawapendi vya kwao na wa kwao bila sababu ya msingi basi fahamu kuwa uzalendo hakuna.
Hebu ona sasa hivi timu zinatafuta makocha kutoka Burundi, Rwanda, Malawi, Congo, Malawi, Zambia, Kenya ambako hata huko hakuna mafanikio kwenye mpira. Tunawapa ajira wageni wasiokuwa na tofauti kubwa na watu wetu.
Eti Wachezaji 10 wageni kila klabu, he.
Nani ameturoga?
Hebu ona sasa hivi timu zinatafuta makocha kutoka Burundi, Rwanda, Malawi, Congo, Malawi, Zambia, Kenya ambako hata huko hakuna mafanikio kwenye mpira. Tunawapa ajira wageni wasiokuwa na tofauti kubwa na watu wetu.
Eti Wachezaji 10 wageni kila klabu, he.
Nani ameturoga?