Dalili hizi ni za kupendwa ama?

Dalili hizi ni za kupendwa ama?

Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kuwa na urafiki wa karibu na Dada Mmoja {Normal Friend} ukweli sijawahi kumtongoza lakini nipo free kwake kumwambia kitu chochote,,lakini karibuni ameanza kuniambia personal issue nyingi ambazo naweza kusema ni ngumu kwa mwanamke kumwambia mwanaume wa kawaida,pia tunatoka pamoja,tunakula pamoja,lakini cha ajabu mpaka akitongozwa na Mtu huwa ananiambia na ananiomba ushauri,,,Ukweli nimeanza kuvutiwa naye but i respect her a lot.Je wana jamii naombeni msaada ni mambo ya kawaida au ni dalili za kupendwa?

kwani hatupaswi kuwarespect wapenzi, waume au wake zetu?
 
Kaka kula mzigo akuheshimu acha ujinga atakufanya shoga yake sasa
 
kama anakueleza kila kitu cha kwake huo sasa ni umbea wa wanawake shauri yako
 
Sina hakika kama hiyo ni dalili ya kupendwa, ila kwa upande wangu ni kawaida sana na kama ni dalili ya kupendwa basi mimi napendwa na wanawake wote ninaozungumza nao! mimi naona ni dalili ya uaminifu wako kwake, kama huna mazoeano kimazungumzo na watu, ni kawaida kwa mtu yeyote kwani anajua hutasema, kinachowafanya watu wengi wa jinsia zote kutoongea mambo yao binafsi kwa wengine sio kwamba hawawapendi, sivyo bali wanakuwa na wasiwasi wa kusambaziwa maneno, jichunguze uhusiano wako na watu wengine ukoje, ndo utajua sababu ya jambo hilo kutokea, ila inawezeka akawa anakupenda kimapenzi lakini hiyo siyo hoja kubwa.
 
yaani hapo ukileta mapenzi ndo uharibu kila kitu,we cheza karata zako vizuri, mega mzigo kisela huku unaendelea kumpa usharudi.
 
jiangushe kwenye penalt box af subria filimb
 
we nawe hebu acha ushamba huyo aweza kua anakupenda tu kikawaida, mfano mie binafsi naweza kukueleza ishu binafsi kibao na hata kulala nawe same bed bila kufanya chochote...its a matter of natural love and affection ambayo hata mzazi anawezakua nayo kwa mwanae, so unakuwa bro wa hiari ulonikaa rohoni lolest...
NOTE HOWEVER: vise versa is true..(yawezekana anakungoja umwambie tu kuwa nawe umefall)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom