Dalili hizi ni za kupendwa ama?

Dalili hizi ni za kupendwa ama?

msd

Member
Joined
Nov 26, 2012
Posts
50
Reaction score
8
Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kuwa na urafiki wa karibu na Dada Mmoja {Normal Friend} ukweli sijawahi kumtongoza lakini nipo free kwake kumwambia kitu chochote,,lakini karibuni ameanza kuniambia personal issue nyingi ambazo naweza kusema ni ngumu kwa mwanamke kumwambia mwanaume wa kawaida,pia tunatoka pamoja,tunakula pamoja,lakini cha ajabu mpaka akitongozwa na Mtu huwa ananiambia na ananiomba ushauri,,,Ukweli nimeanza kuvutiwa naye but i respect her a lot.Je wana jamii naombeni msaada ni mambo ya kawaida au ni dalili za kupendwa?
 
hebu funguka vizr umri wenu unatofauti sana au? usije kuwa unambania mwenzako dogo! soma alama za nyakati.
 
la hasha! Mi sidhani kuwa karibu hivyo ni dalili za kupendwa! Ni vile amekuamini,kuna mambo umemzidi hivyo anakuona kama kakake wa hiari that y yupo free kukwambia chochote as long as unamkarimia vizuri.usikurupuke utaumia! Nenda naye taratibu ukijiridhsha mweleze hisia zako huenda ndiye mama watoto wako! Kila la kheri!
 
umenifanya nicheke aisee,halafu umejuaje kama ni ngumu kukwambia mwanaume wa kawaida
 
"I respect her alot",damn it.!!.what is respect dude.?,she got chased and tell u every thing,tell u personal issues then u are talking such gabbage.
 
We lijamaa bwana yaani mwanamke kukueleza hivyo tu umepagawa?.....
mi nilishaoneshwa tatoo zipo kwenye mapaja na bado mjini sikwenda...shenzi!
 
mshikaji bwana? kwani kuna issue ngumu kuambiwa mtu mwanamke?
 
Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kuwa na urafiki wa karibu na Dada Mmoja {Normal Friend} ukweli sijawahi kumtongoza lakini nipo free kwake kumwambia kitu chochote,,lakini karibuni ameanza kuniambia personal issue nyingi ambazo naweza kusema ni ngumu kwa mwanamke kumwambia mwanaume wa kawaida,pia tunatoka pamoja,tunakula pamoja,lakini cha ajabu mpaka akitongozwa na Mtu huwa ananiambia na ananiomba ushauri,,,Ukweli nimeanza kuvutiwa naye but i respect her a lot.Je wana jamii naombeni msaada ni mambo ya kawaida au ni dalili za kupendwa?

Ni ngumu kuusemea moyo wa huyo dada, ingawa kuna ukweli kwamba kuwa na urafiki wa karibu sana na mdada na kukuomba ushauri si sababu tosha ya kuwa yeye amekupenda kimapenzi. Wengine hukueleza shida zao kwa sababu ya kukuamini na kuona kuwa yumkini unaweza kumpa ushauri wa kumnasua kwenye tatizo alilonalo, lakini pia wapo ambao hutumia njia hii kufikisha ujumbe.

Ila yote kwa yote, kama unampenda mtu we mwambie tu acha woga usio na maana kwa sababu kumwambia mtu si kosa ila uwe tayari kukubali matokeo! Usitengeneze bifu, jibu likija negative, mnaweza kuendeleza urafiki kama kawaida.
 
Ukitaka kukosana na msichana ambaye ni rafiki yako wa karibu mtongoze.! Watu kama hao inashtukiwaga KITU NA BOX,aafu mnaanza kuulizana, nini kimetokebda? Mpaka mkapate solution ya swali mtu alishakole, labda uwe hausimamishi.
 
Mimi ni kijana wa kiume nimetokea kuwa na urafiki wa karibu na Dada Mmoja {Normal Friend} ukweli sijawahi kumtongoza lakini nipo free kwake kumwambia kitu chochote,,lakini karibuni ameanza kuniambia personal issue nyingi ambazo naweza kusema ni ngumu kwa mwanamke kumwambia mwanaume wa kawaida,pia tunatoka pamoja,tunakula pamoja,lakini cha ajabu mpaka akitongozwa na Mtu huwa ananiambia na ananiomba ushauri,,,Ukweli nimeanza kuvutiwa naye but i respect her a lot.Je wana jamii naombeni msaada ni mambo ya kawaida au ni dalili za kupendwa?

mpeleke lorge halafu uone kama anakupenda au laa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom