1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,969
- 13,848
we ni customer care bila shakaNina laini za voda 4,tigo 2,halotel 3,airtel 1,zantel 1 na ttcl 1 ila cha ajabu simu zangu hazina password na sina mchepuko. Je niko kundi gani au hii ni dalili ya nini?
Kapeace ni kwamba somewhere somehow along the line Mungu hufunua ukweli. Thats how it is.Kuna wengine hata uwe na dalili mia huwezi kumgundua, poleni kwa kujipa moyo
Alooooo ! Kaka hiyo sms ingekuchanganya kweli. sms ingemchanganya mwanaume yoyoteNishapoa mkuu, tulikuwa tunaishi mitaa tofauti... Wakati mwingine alkuwa anakosea text badala kumtumia jamaa zinakuja kwangu, kuna siku niliumia Sana baada ya kuongea usiku naye kuniambia anataka kulala hivyo tukatishe maongezi, baada ya muda ikaingia text ilosomeka " Leo unataka nivae cheni au shanga? Alafu nyuma kuna niwasha kweli, naomba uandae mafuta ya mgando Kama huna niambie nibebe " ...kwa kweli sikupata usingizi hiyo siku.
Limewagusa hili ndio maana huwaoni. siri zao zimefichuliwaKuna wadau maridhawa wa jinsia KE sijawaona humu
Madam line zote za nn hizo? Au usalama wa taifa ww.Nina laini za voda 4,tigo 2,halotel 3,airtel 1,zantel 1 na ttcl 1 ila cha ajabu simu zangu hazina password na sina mchepuko. Je niko kundi gani au hii ni dalili ya nini?
Ndo nshakuambia SINA MCHEPUKO NA SIMU ZANGU HAZINA PASSWORD. Hata akitaka alale nazo yeye nampa.Madam line zote za nn hizo? Au usalama wa taifa ww.
And tutajuaje kama huna mchepuko?
Kwani wewe ndio uliepewa ubalozi wa nyumba kumi?Mi Jana nmekuta kasevu jina mchato !!! Hiii nilishituka
Pole sana kwa hayo masahibuNishapoa mkuu, tulikuwa tunaishi mitaa tofauti... Wakati mwingine alkuwa anakosea text badala kumtumia jamaa zinakuja kwangu, kuna siku niliumia Sana baada ya kuongea usiku naye kuniambia anataka kulala hivyo tukatishe maongezi, baada ya muda ikaingia text ilosomeka " Leo unataka nivae cheni au shanga? Alafu nyuma kuna niwasha kweli, naomba uandae mafuta ya mgando Kama huna niambie nibebe " ...kwa kweli sikupata usingizi hiyo siku.
Kweli kabisa.Ndo maana nawashauri wanaume, tusishindane na hivi viumbe... after all vipo vingi..hata 'ukikaze' namna gani kikiamua kutotulia kitatoka tu.
PointUkiona kun namba inayompigia kila siku alafu haisaviwi kwa jina; anza kushtuka.
Katika vitu siwezi kuvumilia kuwa na mwanamke. Ni usaliti na dalili zozote za usaliti nitazifuatilia.
Nikigundua ukweli anatoka naye siyo hadi niwafumanie yaani ni kutemana fasta.
Labda ma bwege wenzioKuna wengine hata uwe na dalili mia huwezi kumgundua, poleni kwa kujipa moyo