Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Wanadai 250/= haitoshi mafuta yamepanda. Abiria wanatembea na kutumia bodaboda na pick ups. Watu wamejaa vituo vya basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanadai 250/= haitoshi mafuta yamepanda. Abiria wanatembea na kutumia bodaboda na pick ups. Watu wamejaa vituo vya basi
Na huo mgomo umechochewa na cdm au?
Nikweli wamegoma na ktk jiji la mwanza na vitongoji vyake leo kuna usafir wa bajaj za mizigo,pic up,na pikpik,naul ktk pic up na bajaj zamzigo ni 500,
kituo hadi kituo,jamaa wa bajaji wamefurahi sana leo wanaomba mgomo wa daladala uendelee hata wiki nzima,ama kweli vita ya panzi ni neema ya kunguru,wakuu narekebisha hapo nauli ni sh 500 kwa huo usafiri wa shida unaopatikana leo jijin mwanza.