Ston Merchant
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 393
- 103
Jamaa mmoja akiwa kwenye daladala tumbo likamjaa gesi akataka kujamba lkn akaogopa, baada ya kusikia kuna mziki akaamua kuachia vishuzi kulingana na bit ya mziki akijua hakuna anaesikia. Heh..! aliposhuka akashangaa kuona kila mtu anamwangalia kwa mshangao. Akashtuka..! Kumbe mziki aliokua anausikia ulikua kwenye Head Phone zake na wala haukuwa wa daladala. Ndipo akagundua kuwa mishuzi yake yote imesikika na watu.