Daktari wa Chuo Kikuu cha Ushirika ni jipu la kutumbuliwa

Status
Not open for further replies.
Umeandika mara 3 na bado ueleweki! Usiku wote ulitaka akae macho hata kama hakuna mgonjwa? Akiitwa anakuja, sasa tatizo lake ni nini hapo? Hacha wivu wa ki - mobeto


siwezi kuwa na wivu wa kipumbavu kwa matendo au utendaji mbovu wa huyo daktari...
 
Eh NAHUJA, wakati tunaishi Rau miaka ya 90 tulikuwa tukija dispensary ya ushirika kutibiwa wakati mwingine. Namkumbuka sana Dokta maneno na Dokta masawe na wale manesi..

Kwa kweli siwezi kujua ukweli wa mada hii na nikisema nimtetee pia nitakuwa ninakosea, ni zamani mno. Walikuwa watoa huduma wazuri tu kipindi hicho. Kama ni kweli basi ninamsikitikia.
Sasa sijui mgogo, Maneno kawaje?! Ila mie namshauri mtoa thread amuone hata Dr mwingine aeleze malalamiko yake! amuone hata Hokororo (sina uhakika kama nimepatia jina).
Il acha ajabu najiuliza kwanini serikali ya wanafunzi, Waziri wao wa Afya asimuone dean of students au amuone kabisa Prof. Bee!!!
 
Sasa sijui mgogo, Maneno kawaje?! Ila mie namshauri mtoa thread amuone hata Dr mwingine aeleze malalamiko yake! amuone hata Hokororo (sina uhakika kama nimepatia jina).
Il acha ajabu najiuliza kwanini serikali ya wanafunzi, Waziri wao wa Afya asimuone dean of students au amuone kabisa Prof. Bee!!!

itakuwa Chuki binafsi, ameshindwa kuweka kwenye sanduku LA Maoni, kupeleka serikali ya wanafunzi, kuandika Kwa mkuu WA chuo

mhh
 
Daktari wa chuo kikuu cha ushirika anaitwa Dr. Maneno, ni jipu na hafai katika kazi ya kutoa matibabu na hana maadili ya kazi sababu:-
1. amekuwa akiingia kazini amelewa pombe
2. hutoa siri za wagonjwa
3. anasema yeye usalama wa taifa hamna wa kumfanya lolote..
4. amekuwa akipangiwa usiku muda ambao anakuwa amelewa na hakai kazini hadi apigiwe simu ndio aje kutoa huduma

Nani anampa jeuri hiyo.. hili ni tatizo ndio maana nimeandika
.
Duniani sijawahi kuona Chuo kikuu cha aina yake kama Chuo kikuu cha ushirika moshi.chuo kina wasomi ILA hakuna research au mradi wowote wasoni hao wameweza kuifanya ili isaifie jamii? Kuna mabanda ya akina mama ntilie ndani ya Chuo ambayo wanafunzi wanaenda kujipatia chakula aibu tupu,yabomolewe.ushauri wangu,vyuo vikuu course ya certificate na diploma zifutwe ,ili Chuo kibakie na degree Tu.
 
Duniani sijawahi kuona Chuo kikuu cha aina yake kama Chuo kikuu cha ushirika moshi.chuo kina wasomi ILA hakuna research au mradi wowote wasoni hao wameweza kuifanya ili isaifie jamii? Kuna mabanda ya akina mama ntilie ndani ya Chuo ambayo wanafunzi wanaenda kujipatia chakula aibu tupu,yabomolewe.ushauri wangu,vyuo vikuu course ya certificate na diploma zifutwe ,ili Chuo kibakie na degree Tu.
Hivi hiko Chuo si alisoma mfalme wa dar

Ova
 
Daktari wa chuo kikuu cha ushirika anaitwa Dr. Maneno, ni jipu na hafai katika kazi ya kutoa matibabu na hana maadili ya kazi sababu:-
1. amekuwa akiingia kazini amelewa pombe
2. hutoa siri za wagonjwa
3. anasema yeye usalama wa taifa hamna wa kumfanya lolote..
4. amekuwa akipangiwa usiku muda ambao anakuwa amelewa na hakai kazini hadi apigiwe simu ndio aje kutoa huduma

Nani anampa jeuri hiyo.. hili ni tatizo ndio maana nimeandika
.
Huyu doctor ni muhun Ile mbaya alinidhulumu laki yng kuna siku nimetoka kucheck mechi pale malind nikakutana nae ucku saa Sita yupo na kudem duu kidogo azime alinibembeleza kinoma
 
Andika barua upeleke posta kwa anuani hii:
Makamu Mkuu wa Chuo,
MoCU,
S.L.P. 474,
MOSHI.

au tuma e-mail info@mocu.ac.tz
au piga simu ya mezani +255 27 27 51 83 3

Ukishindwa haya yote basi weka kwenye sanduku la maoni ambalo naamini linakuwa reception ya Chuo
Mkuu badili ID yako faster nshakufaham, tupo wote daaah hatar Sana huyo jamaa sijui ni zile lips zinamfanya hivo, halafu jamaa Hana mke anapiga totoz, gambe, cigar full mchanganyo
 
Sasa sijui mgogo, Maneno kawaje?! Ila mie namshauri mtoa thread amuone hata Dr mwingine aeleze malalamiko yake! amuone hata Hokororo (sina uhakika kama nimepatia jina).
Il acha ajabu najiuliza kwanini serikali ya wanafunzi, Waziri wao wa Afya asimuone dean of students au amuone kabisa Prof. Bee!!!


Labda wa hapahapa atupe mrejesho...
 
nimeeandika karibu mara 3.. nikipost topic inajifuta nimeona niandike kifupi nita edit

kama una hoja au swali uliza sio kunikosoa... maana mimi nimetoa hoja nawe jibu kwa hoja..
Umeisha wasilisha hoja yako kwa Makamu Mkuu wa Chuo Fedha na Utawala? kama wewe ni mtumishi au kwa Mshauri wa wanachuo ? kama wewe ni mwanafunzi? Kinyume na hapo haya ni majungu kama majungu mengine tu
 
daah, pole zake huyo dr. maana hiyo roho ya ulevi ni hatari sana kwake kimwili, kimaisha na kiroho
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom