Sijawah sikia hukumu za hao watu na Polisi fakeWatu kama hawa huingia hospitalini kufanya kazi maalum , anaweza kuwa ametumwa kummaliza mtu fulani kwa maagizo maalum , wengi wanaokamatwa huwezi kujua mwisho wao .
Mara nying hutokeaTaapeli anafika hadi chumba cha upasuaji!!, madakitari hawana vitambulisho?
Nadhani umeelewa , ndio maana chadema iliamua kumpeleka Lissu Nairobi.Sijawah sikia hukumu za hao watu na Polisi fake
Mara nying hutokea
Umekipata ulichokitaka mkuuAsante
Ofisi tu ya kufanyia kazi ndo issue na mtihani.Taapeli anafika hadi chumba cha upasuaji!!, madakitari hawana vitambulisho?
Hii chai, aliyempangia hiyo kaz ni nani ? je analipwaje ? bora ingekuwa mapokez hapo sawaTaapeli anafika hadi chumba cha upasuaji!!, madakitari hawana vitambulisho?
Taapeli anafika hadi chumba cha upasuaji!!, madakitari hawana vitambulisho?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo atakuwa mwanachama wa CCM amezoea kutapeli kura.
Unatokea kijiji gani? Maana bado unaonekana mshambaHuyo atakuwa mwanachama wa CCM amezoea kutapeli kura.
KolomijeUnatokea kijiji gani? Maana bado unaonekana mshamba
Hasa pale "kiki" zinapopungua, maana uwa wanakamatwa wengi ila sijawahi kusikia mwisho wa kesi zao au kusikia wanapelekwa mahakamaniMengine huwa ni maigizo ya ndugu zetu wa kazi.