n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Wakuu,
Hivi kuna speshalisti wa wanaume? Anapatikana wapi?
Kuna maradhi ambayo kama mwanaume unatakiwa kukutakana na daktari bingwa na umweleze akupa ushauri au matibabu accordingly. Hii ya kukutana na daktari yeyote sidhani kama ni sahihi.
Kama yupo kwa hapa TZ au Nairobi basi naomba anuani (anapopatikana) yake. Na kama hakuna, wadau wa JF ambao ni madaktari fikirieni kuanzisha kliniki za kuwashauri/kuwatibu wanaume.
Hivi kuna speshalisti wa wanaume? Anapatikana wapi?
Kuna maradhi ambayo kama mwanaume unatakiwa kukutakana na daktari bingwa na umweleze akupa ushauri au matibabu accordingly. Hii ya kukutana na daktari yeyote sidhani kama ni sahihi.
Kama yupo kwa hapa TZ au Nairobi basi naomba anuani (anapopatikana) yake. Na kama hakuna, wadau wa JF ambao ni madaktari fikirieni kuanzisha kliniki za kuwashauri/kuwatibu wanaume.