heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,019
- 13,264
Tupo katika dakika za jioni kabisa mambo yameshaiva hayawi hayawi sasa yanakaribia kuwa,
Je tutegemee watajitokeza watu muhimu dakika hizi za jioni? Maana viungo muhimu wameshadakwa dk za 70 uko ,
Je kuna watu wazito wenye subira wanaosubiri dakika za jioni kurusha mashambulizi heavy au ndo silaha za akiba zimeisha
Gwajima je,Tesha nae je petrol walio iacha inaweza washa moto
Tutarajie sub ?
Je Hp uko alipo yupo hai au keshakufa
Je tutegemee watajitokeza watu muhimu dakika hizi za jioni? Maana viungo muhimu wameshadakwa dk za 70 uko ,
Je kuna watu wazito wenye subira wanaosubiri dakika za jioni kurusha mashambulizi heavy au ndo silaha za akiba zimeisha
Gwajima je,Tesha nae je petrol walio iacha inaweza washa moto
Tutarajie sub ?
Je Hp uko alipo yupo hai au keshakufa