Dakika 45: Godbless Lema aunguruma ITV

"kikao cha bunge kinaendeshwa kama kikao cha ukoo" Lema
 
Hivi tulia alijiunga na CCM lini? Mmesahau mlivyomuweka Lema jela?
 
Duh, siri za Bunge zote hadharani kuanzia maadili, utendaji, hadhi ya Bunge, Demokrasia Bungeni n.k

Maadili Maadili kwa Taifa zima ni muhimu nakubali kuepusha ufisadi, wizi wa kalamu n.k

Shukrani Mh. Godbless Lema na televisheni ya ''Taifa'' ITV.
 
Haimanishi ccm na serikali za awamu zake zote hakuna mazuri wameyafanya,la,yapo.lakini toka tupate Uhuru ukiweka mizania ya mazuri na mabaya pamoja na utajiri wa rasilimali tulizo nazo, utagundua wametuchelewesha kweli.Ndio maana tunataka mabadiliko yaki-mfumo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…