Dakika 45: Godbless Lema aunguruma ITV

Dakika 45: Godbless Lema aunguruma ITV

Azim Sokoine

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2014
Posts
1,485
Reaction score
2,752
Habari wakuu,
Kesho Jumatatu katika kipindi kinachorushwa na ITV cha dakika 45 atakuwepo katika mahojiano wazir kivuli wa mambo ndani kamanda Godbless Lema ni matumaini yangu kamanda Lema atazungumza mambo mengi kuhusiana na mambo mbalimbali yanayohusu wizara ya mambo ya ndani likiwemo la Lugumi.

================

Updates;

================
 
habar wakuu,kesho jumatatu katika kipindi kinachorushwa na itv cha dakika 45 atakuwepo katika mahojiano wazir kivul wa mambo ndani kamanda Godbless Lema ni matumaini yangu kamanda Lema atazungumza mambo mengi kuhusiana na mambo mbalimbal yanayohusu wizara ya mambo ya ndani likiwemo la Lugumi
Lema ni nani nchi hii hadi waache shughuli zao wamfatilie? Wana Arusha walipata hasara.
 
Ni live au recorded?, maana ikiwa live anaweza kuzungumzia habari za Jesca
 
Kipindi kitakuwa live au recorded?
 
Pia atwambie kwanini alimbaka yule dada mwenye upungufu wa akili.
 
Atuambie machinga complex na hospitali ya mama na mtoto alizotuahidi wana arusha ziko wapi
 
habar wakuu,kesho jumatatu katika kipindi kinachorushwa na itv cha dakika 45 atakuwepo katika mahojiano wazir kivul wa mambo ndani kamanda Godbless Lema ni matumaini yangu kamanda Lema atazungumza mambo mengi kuhusiana na mambo mbalimbal yanayohusu wizara ya mambo ya ndani likiwemo la Lugumi
....

.......habari njema
 
Back
Top Bottom