Kabla ya kuoana kila mtu huwa anaficha tabia zake ambazo mara nyingi nyingine hazivumiliki,baada ya ndoa kwa maana ya kuanza kukaa pamoja ndipo hapo watu huanza kuzigundua tabia hizo na ndipo matatizo hutokea.jamani embu nisaidieni kunijibu!maana watu wengi kabla hawwajaoana ni full kupendana,wakishaoana tu wanaanza matatizo!
Kuna sababu nyingi tu zinachangia:
1. Si rahisi sana kwa binadamu kuishi smoothly bila kukwaruzana kwani hakuna mkamilifu isipokuwa Mungu. Wanasema hata vikombe kambatini hugongana.
2. Watu kuingia kwenye ndoa bila maandalizi ya kutosha. Inatakiwa ufahamu unatarajia nini toka kwa mwenza wako naye anatarajia nini kutoka kwako na mzingatie.
3. Baada ya ndoa watu hujisahau kwa sababu tayari anakuwa na uhakika.
4. Baadhi ya watu huficha sura zao halisi wakati uchumba na hizo sura huja hujitokeza kadri muda unavyokwenda na hivyo huwakera wenzi wao.
5. Uzoefu (na tafiti) unaonyesha baada kuzaa mama huhamishia mapenzi kwa watoto na mume hujifeel anakuwa neglected.
6. INFIDELITY! Ambayo husababishwa na mojawapo ya sababu hapo juu au tabia tu ya mhusika.
Nawasilisha.
Kuna sababu nyingi tu zinachangia:
1. Si rahisi sana kwa binadamu kuishi smoothly bila kukwaruzana kwani hakuna mkamilifu isipokuwa Mungu. Wanasema hata vikombe kambatini hugongana.
2. Watu kuingia kwenye ndoa bila maandalizi ya kutosha. Inatakiwa ufahamu unatarajia nini toka kwa mwenza wako naye anatarajia nini kutoka kwako na mzingatie.
3. Baada ya ndoa watu hujisahau kwa sababu tayari anakuwa na uhakika.
4. Baadhi ya watu huficha sura zao halisi wakati uchumba na hizo sura huja hujitokeza kadri muda unavyokwenda na hivyo huwakera wenzi wao.
5. Uzoefu (na tafiti) unaonyesha baada kuzaa mama huhamishia mapenzi kwa watoto na mume hujifeel anakuwa neglected.
6. INFIDELITY! Ambayo husababishwa na mojawapo ya sababu hapo juu au tabia tu ya mhusika.
Nawasilisha.