I love you Sweetheart ila nilisahau kukuambia kuwa yule GF wa zamani amerudi na jana pia niliibiwa ATM card zangu na Tigopesa, M-Pesa, Airtel Money na EZY-pesa wameblock line zangu hii natumia landline kukutumia sms hii. Baba mgonjwa na tunamalizia jengo kule nyumbani il kama baba akifariki basi tuwe na mahali pazuri pa kupokelea wageni.