Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,291
- 51,905
Kwanini kabla sijaanza mapenzi ilikuwa kila ninachofanya kinafanikiwa kwa viwango vya juu lakini tangu nilipoanza kuonja mbususu ya kwanza mambo yalianza kuniendea kama vile hayanijui?
Nauliza tu wakulungwa. Au ndio lile tunda la mema na mabaya? 🥺
Nauliza tu wakulungwa. Au ndio lile tunda la mema na mabaya? 🥺


