MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 561
Mpe hela , mpe hela , mpe hela tu, we mpe hela mwenyewe atajileta....
Daaaaa ! Mbona kakupa jibu la matumaini kabisa hilo !
Huwa sitoagi namba ya simu ! Daaa
kweli kuna watu midomo zege ! Na wengine midomo maji tu !
Wadau za mida hii....basi dah hapa kitaani kuna mtoto flani hivi ya ukwel ananitesa mtima wangukichizi...hua anapenda kuniangalia sana pindi tunapo kutana stand au akipita hapa karibu na geto sasa mida hii nimemuona akitoka dukani nkasema hapa hapa bas amechukua cha kuchukua nikamfata ''Za muda huu mrembo''akanijb salama bs mzee mzima nkaona nisicheleweshe nikaomba namba ya simu nn dah akaniju ''hua stoagi namba ya simu''ukwel nimejiskia noma sana dah hiyo hali ya kutoswa namba imenipa mfadhaiko wakuendela kumfatlia tatzo anautesa mtima
nitumie mbinugani wadau
ungeomba email address.. ujue namba yaweza kuwa ngumu ila email unapewa tu fasta.
hahahahaaaa,,,,,UTOTO RAHA,,,sasa ndo cha mbavu hiki???
Daaaaa ! Mbona kakupa jibu la matumaini kabisa hilo !
Huwa sitoagi namba ya simu ! Daaa
kweli kuna watu midomo zege ! Na wengine midomo maji tu !
dah email tena
Aaa bwana uyo mbna analegeza msimamo tu...apo alikua anapima upepo usimuone tht take away!...
Embu kesho msarandie tena uone km atachomoa!....
ndio, sometimes kujibu emails ni rahisi zaidi kuliko kujibu text msg au kupokea simu.
Wadau za mida hii....basi dah hapa kitaani kuna mtoto flani hivi ya ukwel ananitesa mtima wangukichizi...hua anapenda kuniangalia sana pindi tunapo kutana stand au akipita hapa karibu na geto sasa mida hii nimemuona akitoka dukani nkasema hapa hapa bas amechukua cha kuchukua nikamfata ''Za muda huu mrembo''akanijb salama bs mzee mzima nkaona nisicheleweshe nikaomba namba ya simu nn dah akaniju ''hua stoagi namba ya simu''ukwel nimejiskia noma sana dah hiyo hali ya kutoswa namba imenipa mfadhaiko wakuendela kumfatlia tatzo anautesa mtima
nitumie mbinugani wadau