Ndio maanake uliachaje sasa.Ulitaka nimfotoe poti mura
Photo pleaseDah,nimesimamishwa na m1 leo sokoine drive kule daah,ikabid nimwambie tuu,kwakwel hata kama sina kosa,naomba nikupe takrima...daaaah,.mtoto mbichiiiii kabsaa,kazur balaa,.
Akabak anacheka tuu,et "unavituko"...
Nkamwambia ntarud unikamate tena
Kabhisa bhoti kabhicha mura....Ulitaka nimfotoe poti mura
Hakuna thread ya kisenge kama hii.. kwa nn thread ije bila hata kuwa na picha? Tafadhari Modes futeni hii threadDah,nimesimamishwa na m1 leo sokoine drive kule daah,ikabid nimwambie tuu,kwakwel hata kama sina kosa,naomba nikupe takrima...daaaah,.mtoto mbichiiiii kabsaa,kazur balaa,.
Akabak anacheka tuu,et "unavituko"...
Nkamwambia ntarud unikamate tena
Hujabeba hata namba mkuu umefanya makosa sanaDah,nimesimamishwa na m1 leo sokoine drive kule daah,ikabid nimwambie tuu,kwakwel hata kama sina kosa,naomba nikupe takrima...daaaah,.mtoto mbichiiiii kabsaa,kazur balaa,.
Akabak anacheka tuu,et "unavituko"...
Nkamwambia ntarud unikamate tena
Usiogope mkuu na yy ana hisia kwahiyo anaelewa.Kumbuka ni askar kiongoz,ufis upo ila mdogo mdogo.wale wanaeza kukubadilikia mda wowote.ohoo
Kiukwel sjawai ona askar mzur kama yule,niwe mkwel tu,af nadhan wamekaweka central pale mjin,lazma boss mkuu anajilia mtoto yule,si haba