Zikomo Songea
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 670
- 580
Hata wewe hujamwelewa? Hukusoma hesabu za mafumbo?Hujaeleweka
Hata wewe hujamwelewa? Hukusoma hesabu za mafumbo?Hujaeleweka
ushapiga?Habari kama hii bila picha hainogi kabisa au sio mzigua 90
Wanaume tushaelewa. MsameheHujaeleweka
Mzee ungechukua hata namba,sometimes unabadilisha ladha sio kila siku upo na yule 'gilesi' wakoKumbuka ni askar kiongoz,ufis upo ila mdogo mdogo.wale wanaeza kukubadilikia mda wowote.ohoo
Habari bila picha ni uchochezi uliotukuka!Dah,nimesimamishwa na m1 leo sokoine drive kule daah,ikabid nimwambie tuu,kwakwel hata kama sina kosa,naomba nikupe takrima...daaaah,.mtoto mbichiiiii kabsaa,kazur balaa,.
Akabak anacheka tuu,et "unavituko"...
Nkamwambia ntarud unikamate tena
Angeomba kupiga naye japo selfie!Ndio maanake uliachaje sasa.