Hiyo picha ya mwisho nguruwe anampongeza kangaroo baada ya kumkonyee vizuri.Sasa nani dume na nani jike maana naona wanapandiana kwa zamu
Binadamu wana zambi sana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bata kaamaua ajikalie tu atazamae,maana haaini nayeye
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hiyo picha ya mwisho nguruwe anampongeza kangaroo baada ya kumkonyee vizuri.
Imagine hiyo crossbreeding itakayotoka hapohahaha kivipi mkuu, wanachombeza!!!
Imagine hiyo crossbreeding itakayotoka hapo
hahahah mkuu beastiality inakupa mzuka pia
Kibaiolojia yai la pig haliwezi kuitambua sperm ya kangaroo, sababu pig na kangaroo hawapo closely related, mfano kama simba na tiger hawa wamesha zaa, au punda na farasi wameweza kuzaa kitu inaitwa mule.Kama binadamu ndo wamechochea hiyo hali basi watakuwa wamewahasi ili wasitoe new offspring maana linaweza kutoka bomu kama sio new creature ambayo haikuumbwa.