Mr Mikazo
JF-Expert Member
- May 26, 2016
- 1,595
- 806
Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kushoto ni wageni waalikwa, akaenda kushoto maana yy alialikwa. Akakuta mlango wa2 umeandikwa kulia wenye zawadi kushoto wasionazawadi yy hakuwa na zawadi. Mlango Wa 3 umeandikwa kulia wanawake kushoto waume akapita kushoto akajikuta ametokea mtaani







. Tujifunze kutoa wandugu
*hatupendagi ujinga sisi*














. Tujifunze kutoa wandugu*hatupendagi ujinga sisi*






