Dagaa walio kaangwa kutoka mwanza

ayman makoye

Member
Joined
Jan 3, 2017
Posts
13
Reaction score
33
Habari za leo ndugu mr.busin£ss supplier
Tunajihusisha na usambazaji wa dagaa wa kukaangwa kutoka ziwa victoria (mwanza) kwa bei nafuu kabisa ni dagaa safi wasio na mchanga ni watamu sana (Wanalika bila viungo vingine) wana uwezo wa kukaa mda mrefu bila kuharibika wamefanyiwa packaging katika mazingira safi na salama pakiti moja inauzwa sh 2000/=
0716865460/0763571013
We offER fRe£ deliVERy
 
Jitahidi kutofautisha E na £ usiweke urembo kwenye vitu vya siriazi.
 
mimi nahitaji pakiti 10 waliobanikwa na 5 wamafuta
 
Inateghemea na ww mwenyewe ss uhtaji wako,Si tuna tuma kwa kuangaria order ulyo toa
Toa majibu yakueleweka kuwa kuanzia mzigo wa pkt kadhaa ndio tunatuma. Sasa unajibu inategemeana wakati ushasema mnatuma mzigo mkubwa tu na haujaspecify huo mzigo mkubwa ni kiasi gani!!!
 
Toa majibu yakueleweka kuwa kuanzia mzigo wa pkt kadhaa ndio tunatuma. Sasa unajibu inategemeana wakati ushasema mnatuma mzigo mkubwa tu na haujaspecify huo mzigo mkubwa ni kiasi gani!!!
kweli mkuu ,halafu yupo mwanza sasa sie tunaoishi kibiti kweli ataweza kututumia
 
kweli mkuu ,halafu yupo mwanza sasa sie tunaoishi kibiti kweli ataweza kututumia
Marketing kibongo bongo bado sanaaaa, mtu anatoa tangazo ambalo bado lina maswali kibao, na ukiuliza majibu yanatolewa utafikiri mtu anatania tu hayupo seious na biashara.
 
Nipo mtwara nahitaji packti moja nile mchana huu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…