We kajiandikishe umeanza ubabaishaji utaratibu upo utapiga popote nchini.we utapiga kura kwelii?jibu
na wasalimu wote mungu ni mwema ametulinda ujumbe wangu kwa vijana wote wa nchi hii ya tz kila mmoja awe balozi wa mwezake akajiandikishe kupiga kura ili tukafanya mabadiliko iliyo sahihi tuache kulalamika
Naomba kuuliza iv nikijiandikisha dar halaf nataka kupiga kura wilaya nyngne nje ya mkoa iko vp iyo
Mwanangu jambo kubwa ujjiandikishe, mengine yatafuata. Waambie na wenzako wote.