Dadiii...... Loving you....

Dadiii...... Loving you....

Nimekupa destination, njoo.

Daaah hiyo destination (location) itakuwa imeenda kwa mwingine kimakosa aiseeh, sijaipata....

Hapa koo limenikauka (sanvita)

Mate yamenijaa mdomoni (bungo na embe ng'ong'o)

Please do the needful jirani.
 
salama, za kupotea?
mwambie asijali nitakukuta mimi uwe kwangu

Hhahahahahhaaa, shauri yako....

My wife wako to be akisoma hapa atakununia na ataninunia na mie maana sio kwa kungojewa huko hehehehee

Utanyimwa zawadi ya sikukuu hehehehee

Kasie
 
Hhahahahahhaaa, shauri yako....

My wife wako to be akisoma hapa atakununia na ataninunia na mie maana sio kwa kungojewa huko hehehehee

Utanyimwa zawadi ya sikukuu hehehehee

Kasie
utakua mgeni wetu wa sikukuu usijali anajua nakusubiri, anapenda wageni.
 
utakua mgeni wetu wa sikukuu usijali anajua nakusubiri, anapenda wageni.

Aahahahahaha looh hongera, mkeo yuko so generous kiasi cha kusubiri mgeni kama Kasie mwenye mavurugu yote hehehehee.

Basi msiache kuandaa na mahala pa ku dance maana nikishashiba mziki unapanda hadi kwenye kucha.
 
Wake zetu wangekuwa kama kassie dah Tungefaudu sana jamani, lkn hawa akina kichwa kinauma, nimechoka na sijisikii vizuri aaargh wanatutesa sana
 
Jabuuu watu wanatuotea sana kuwa mie na wewe tuoane, sijui kwanini wanatuotea hivyo....

Dadii wangu katulia tuliii anawatizama huku akicheka na kunitekenya hehehehee

Ngabu Mahaba yamenivuruga mwenzio nimekuwa fyatuu, ila utabiri wao ukizidi sijui tujaribu kama itakuwa kweli.... aahahahahahhaaa

Simooo wasije wakashindwa kunywa chai asubuhi hii bure kwa kukereka.

Halafu Vale na Kiranga nao waoane tucheze harusi mie najitolea kuwa matron, wewe utajitolea kuwa bestman?
Naibiwa Mangi
 
Wake zetu wangekuwa kama kassie dah Tungefaudu sana jamani, lkn hawa akina kichwa kinauma, nimechoka na sijisikii vizuri aaargh wanatutesa sana

Aahahahhaha umenikumbusha uzi mmoja niliusomaga zamaniii kabla sijajiunga na JF.

Ulikuwa unaongelea wanawake walioolewa kuwa wabunifu, siku nyingine anaonekana kama mwanafunzi siku nyingine kama housegirl na mmewe ana mnyapia siku nyingine kama baa medi siku nyingine kama mama ntilie. Yaani mwanamke unakuwa na vionjo tofauti tofauti kila leo mwanaume hajui kesho utgakuja na swaga zipi na anakuwa hakuchoki na saa ingine unakuwa calm tuu halafu siku isiyo na jiona unapandish maruhani ya mahaba kama Kasie.

Kwa maneno ni rahisi na kwa vitendo inahitaji uwe na sanaa aka msanii maana huku uwaze watoto huku ndugu huku nyumba haijafanyaje sijui huku kazini huku hela akija mume anaona hili nalo halioni kuwa mwenzie nimechoka. Kumbe mke anatakiwa saa zote awe tayari kwa mumewe bila kukauka tabasamu.

Kiukweli sijaolewa labda ningeolewa nisingekuwa hivi ila nna shaukwa na mahaba na Dadii utasema ndo nimebalehe leo hehehehhee.

Japo mwanaume una nafasi ya kumfanya mkeo awe mchangamfu na mcheshi na mtundu zaidi ya Kasie, mfanyie mema, mtende vizuri utakula mema ya nchi. Mbele yake usijisahau sana, mtafune huku unampuliza mkeo hatoumia na hatokutenda.

Matata K.
 
Aahahahhaha umenikumbusha uzi mmoja niliusomaga zamaniii kabla sijajiunga na JF.

Ulikuwa unaongelea wanawake walioolewa kuwa wabunifu, siku nyingine anaonekana kama mwanafunzi siku nyingine kama housegirl na mmewe ana mnyapia siku nyingine kama baa medi siku nyingine kama mama ntilie. Yaani mwanamke unakuwa na vionjo tofauti tofauti kila leo mwanaume hajui kesho utgakuja na swaga zipi na anakuwa hakuchoki na saa ingine unakuwa calm tuu halafu siku isiyo na jiona unapandish maruhani ya mahaba kama Kasie.

Kwa maneno ni rahisi na kwa vitendo inahitaji uwe na sanaa aka msanii maana huku uwaze watoto huku ndugu huku nyumba haijafanyaje sijui huku kazini huku hela akija mume anaona hili nalo halioni kuwa mwenzie nimechoka. Kumbe mke anatakiwa saa zote awe tayari kwa mumewe bila kukauka tabasamu.

Kiukweli sijaolewa labda ningeolewa nisingekuwa hivi ila nna shaukwa na mahaba na Dadii utasema ndo nimebalehe leo hehehehhee.

Japo mwanaume una nafasi ya kumfanya mkeo awe mchangamfu na mcheshi na mtundu zaidi ya Kasie, mfanyie mema, mtende vizuri utakula mema ya nchi. Mbele yake usijisahau sana, mtafune huku unampuliza mkeo hatoumia na hatokutenda.

Matata K.

Mimi sidhani kama role playing [ leo ni school girl, kesho nurse, keshokutwa cop, siku inayofuata judge, etc] ina spice up penzi.

But I can only speak for myself.

Kwa sababu, hata uvae kama school girl, mwisho wa siku utabaki kuwa mtu yule yule tu.

It’s not like if you dress up like a schoolgirl your pussy is going to tighten, get wetter, or your titties are going to firm up.

Pretty much everything is going to be the same.

So to me role playing doesn’t do much.

But, maybe to others it does.
 
Naibiwa Mangi

Aaahahahahaha Sweet Mangi, huo ni utabiri umetolewa na baadhi ya memba humu JF hakuna wizi wowote....

Na wengine wakaoteshwa na ndoto bin maono.

Kumbe kawivu kapo eeehh hahaahaa mimi penda hiyo.
 
Mimi sidhani kama role playing [ leo ni school girl, kesho nurse, keshokutwa cop, siku inayofuata judge, etc] ina spice up penzi.

But I can only speak for myself.

Kwa sababu, hata uvae kama school girl, mwisho wa siku utabaki kuwa mtu yule yule tu.

It’s not like if you dress up like a schoolgirl your pussy is going to tighten, get wetter, or your titties are going to firm up.

Pretty much everything is going to be the same.

So to me role playing doesn’t do much.

But, maybe to others it does.

*** you Kasiba, Vale anakuita umpeleke clinic

(no offense pls - hehehehhee K' bingwa wa kujihami)
 
Mimi sidhani kama role playing [ leo ni school girl, kesho nurse, keshokutwa cop, siku inayofuata judge, etc] ina spice up penzi.

But I can only speak for myself.

Kwa sababu, hata uvae kama school girl, mwisho wa siku utabaki kuwa mtu yule yule tu.

It’s not like if you dress up like a schoolgirl your pussy is going to tighten, get wetter, or your titties are going to firm up.

Pretty much everything is going to be the same.

So to me role playing doesn’t do much.

But, maybe to others it does.
Sasa we mwenzako kaandika kiswahili

We unaleta kisukuma chako... Nyau wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom