Dadiii...... Loving you....

Dadiii...... Loving you....

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Habari za asubuhi,

Moyo wangu umejaa huba, raha na furaha kwa Dadii. Najua bado ni wmanzo wa wiki na ni asubuhi ila, penzi langu kwa Ddadii halisubiri ijumaa au wikiendi au sikukuu au jioni. Muda wowote mahala popote mahaba ya Kasie kwa Dadii ndo kila kitu.

Jana jioni umenipa bashasha kubwa sana Dadii, nimelala natabasamu nimeamka natabasamu. Asubuhi kumekucha mahaba ndo kama yameanza leo kumbe tangu enzi za alfu lela ulela. Najua wewe ni mtaalamu wa lugha zaidi yangu ila kwako ntachanganya lugha zote hadi kimakonde shurti mahaba yanoge...... ninogesheee ninogesheee.. Daddiii ninogesheee...

Kukuandalia chakula ni fahari yangu, kuwahudumia matoleo yetu (Jo. & Co.) ni bubujiko kwangu. Kila nikiweka vidole kwenye kiandikio (keyboard) maneno yanatiririka tu kutoka moyoni, kila nikifumba macho na kufumbua - kupiga ukope (blink an eye) naiona taswira yako, nasikia sauti yako na tabasamu / cheko lako. Hakika wewe ni nyota ya Jaha / Mahaba kwa Kasie. Umeamsha vimelea ambavyo sikuwahi kuviona ndani ya mwili wangu kabla ila tangu niwe na wewe najiona mpya kila siku kwa jinsi nilivyo.....

Dadiii you are my living engine..... I love you so much to death Baby Kidinda, Mmmuuha!!!




Loving you.... is easy .... making love with you is all I wanna do...

No one else can bring the colors that you bring...

And everytime that we uuuugghhhu..... am more in love with you....

Laalaalaalaalaah laalaalaalaalaah laalaalaalaalaah laalaalaalaaaaaalaah

Duumdum duum duuuduuu uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhhhh!!!

K' Matata Mahaba Dadii.
 
Hahahaa Kasie bana!

Hapa nitashangaa kama Valentina aka Bebi wa Kiranga hatopita na kunitaja....

Jabuuu watu wanatuotea sana kuwa mie na wewe tuoane, sijui kwanini wanatuotea hivyo....

Dadii wangu katulia tuliii anawatizama huku akicheka na kunitekenya hehehehee

Ngabu Mahaba yamenivuruga mwenzio nimekuwa fyatuu, ila utabiri wao ukizidi sijui tujaribu kama itakuwa kweli.... aahahahahahhaaa

Simooo wasije wakashindwa kunywa chai asubuhi hii bure kwa kukereka.

Halafu Vale na Kiranga nao waoane tucheze harusi mie najitolea kuwa matron, wewe utajitolea kuwa bestman?
 
Jabuuu watu wanatuotea sana kuwa mie na wewe tuoane, sijui kwanini wanatuotea hivyo....

Dadii wangu katulia tuliii anawatizama huku akicheka na kunitekenya hehehehee

Ngabu Mahaba yamenivuruga mwenzio nimekuwa fyatuu, ila utabiri wao ukizidi sijui tujaribu kama itakuwa kweli.... aahahahahahhaaa

Simooo wasije wakashindwa kunywa chai asubuhi hii bure kwa kukereka.

Halafu Vale na Kiranga nao waoane tucheze harusi mie najitolea kuwa matron, wewe utajitolea kuwa bestman?

Kwenye wedding dance ya Valentina na Kiranga tutacheza wimbo gani? Tosimbana maboko?
 
Kwenye wedding dance ya Valentina na Kiranga tutacheza wimbo gani? Tosimbana maboko?

Hhahahahahaaa Jabuuu.... tutacheza nyimbo nyingi sana na huo ni mmoja wapo, watupe nafasi tuu. Yote ya yote ona sasa ona.....
Hadi za kinyamwezi na kisukuma hehehehheee
 
Kwenye wedding dance ya Valentina na Kiranga tutacheza wimbo gani? Tosimbana maboko?

Huu wimbo pia tutausakata kwenye wedding dance ya Valentina na Kiranga.



Hhahahahaa kama nakuona uki break-dance hehehehheee Jabuuu.
 
Jabuuu watu wanatuotea sana kuwa mie na wewe tuoane, sijui kwanini wanatuotea hivyo....

Dadii wangu katulia tuliii anawatizama huku akicheka na kunitekenya hehehehee

Ngabu Mahaba yamenivuruga mwenzio nimekuwa fyatuu, ila utabiri wao ukizidi sijui tujaribu kama itakuwa kweli.... aahahahahahhaaa

Simooo wasije wakashindwa kunywa chai asubuhi hii bure kwa kukereka.

Halafu Vale na Kiranga nao waoane tucheze harusi mie najitolea kuwa matron, wewe utajitolea kuwa bestman?
Achana na huyo ngabu Kasie ana kesi ya kujibu
 
Kwahiyo we msukuma ndo ushanipa talaka ya kimya kimya ama?

Hehehhehehee anakuozesha huku wewe ndo mkewe.... Nyani ana mambo....!!!

Ila mie upako wa wedding dance ndo ushanijaa hivo hapa naendelea na mazoezi....



Slow but sweet dance wuuuhhh

I love dancing like jig jig hehehehee.
 
Habari za asubuhi,

Moyo wangu umejaa huba, raha na furaha kwa Dadii. Najua bado ni wmanzo wa wiki na ni asubuhi ila, penzi langu kwa Ddadii halisubiri ijumaa au wikiendi au sikukuu au jioni. Muda wowote mahala popote mahaba ya Kasie kwa Dadii ndo kila kitu.

Jana jioni umenipa bashasha kubwa sana Dadii, nimelala natabasamu nimeamka natabasamu. Asubuhi kumekucha mahaba ndo kama yameanza leo kumbe tangu enzi za alfu lela ulela. Najua wewe ni mtaalamu wa lugha zaidi yangu ila kwako ntachanganya lugha zote hadi kimakonde shurti mahaba yanoge...... ninogesheee ninogesheee.. Daddiii ninogesheee...

Kukuandalia chakula ni fahari yangu, kuwahudumia matoleo yetu (Jo. & Co.) ni bubujiko kwangu. Kila nikiweka vidole kwenye kiandikio (keyboard) maneno yanatiririka tu kutoka moyoni, kila nikifumba macho na kufumbua - kupiga ukope (blink an eye) naiona taswira yako, nasikia sauti yako na tabasamu / cheko lako. Hakika wewe ni nyota ya Jaha / Mahaba kwa Kasie. Umeamsha vimelea ambavyo sikuwahi kuviona ndani ya mwili wangu kabla ila tangu niwe na wewe najiona mpya kila siku kwa jinsi nilivyo.....

Dadiii you are my living engine..... I love you so much to death Baby Kidinda, Mmmuuha!!!




Loving you.... is easy .... making love with you is all I wanna do...

No one else can bring the colors that you bring...

And everytime that we uuuugghhhu..... am more in love with you....

Laalaalaalaalaah laalaalaalaalaah laalaalaalaalaah laalaalaalaaaaaalaah

Duumdum duum duuuduuu uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhhhh!!!

K' Matata Mahaba Dadii.
umepotelea wapi we aunt matata?
 
Achana na huyo ngabu Kasie ana kesi ya kujibu

Hhehehehheee haya muingie court room mmalizane na kesi yenu, mkihitaji mwanasheria wa kujitolea nipo hapa nimejaa tele ntawashushia upako wa Mahaba hadi kieleweke.

Ila mazoezi ya dansi ya harusi naendelea nayo....



Babu Asprin nae hatakuwa nyuma, ndo huyo hapo upande wa kulia akilisakata rhumba heheheheheee

Babuu skaamooo....
 
Upweke ni kitu kibaya sana...

Wee double R weewee, ushawahi kupigwa mitama au kiskio poo???

Halafu kuhusu Sanvita, Mabungo na maembe ng'ong'o ndo umenipotezea eeehhh.....

Saawaaaa....
 
Talaka ntakupa ukishazaa. Kwa sasa lea kwanza hiyo mimba...

(With no offense), so the coming Jo is Ngabu Kiranga!!!?????

Aaaahahahahahhahahahahhahahahaaa simoooooooo nduuukiiiiiii eehehehehehehheheheee

Pole mwaya Vale, kwa huyu mnyatuzu kazi unayo.

Kasie Matata.
 
Wee double R weewee, ushawahi kupigwa mitama au kiskio poo???

Halafu kuhusu Sanvita, Mabungo na maembe ng'ong'o ndo umenipotezea eeehhh.....

Saawaaaa....
Nimekupa destination, njoo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom