Dada zetu tambueni hili

Najua umeelewa ila kama kweli hukuelewa jaribu kukariri itakusaidia siku moja
 
Asante kwa kuliweka hili sawa mkuu, kwakweli hawa viumbe wanatuzidi sana ktk harakati za kutoka nje sema tu wao ni wasiri mnoo....tatizo tu ni kwamba sisi tunakamatwaga kirahisi kwa sabab hatuna usiri km wao.
 
Asante kwa kuliweka hili sawa mkuu, kwakweli hawa viumbe wanatuzidi sana ktk harakati za kutoka nje sema tu wao ni wasiri mnoo....tatizo tu ni kwamba sisi tunakamatwaga kirahisi kwa sabab hatuna usiri km wao.

Ni kweli Wanaume kudakwa ni rahisi sana linaopokuja swala la " kutoka nje ya ndoa"

Watu wawe waaminifu tu
 
Ni kweli Wanaume kudakwa ni rahisi sana linaopokuja swala la " kutoka nje ya ndoa"

Watu wawe waaminifu tu
Ni kujitahidi na kumuomba Mungu kwakweli maana mjini mitego siyo ya kitoto mkuu.
 
Mke ni mmoja tuu labda uoe changudoa tena ukiwa unajua tuu


Kaka eh,ukweli ni kwamba unaemuita mke hayupo. Bari kuna permanent changudoa. Maana labda umuendee kwa muganga kupigwa atapigwa kama wanaouza. Bora wao wanapewa hela na kujitegemea kabisa
 
We kua muaminifu kwenye mahusiano yako.... Habari ya kuwaza wanawake ni wengi kuliko wanaume achana nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…