BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,054
- Thread starter
- #861
2011
Asee, sawa dada yangu
2011
acha ubishi Unazungumzia sample ndogo ya wanaume waliojikatia tamaa uzeeni ndo wanaoa vibibi
Take it from me Kama mwanaume sisi hatuoi wanawake age imeenda vizee venyewe vinaoa vibinti yaan kuna miaka ikifika sisi kama wanaume hatukuoi
acha ubishi Unazungumzia sample ndogo ya wanaume waliojikatia tamaa uzeeni ndo wanaoa vibibi
Take it from me Kama mwanaume sisi hatuoi wanawake age imeenda vizee venyewe vinaoa vibinti yaan kuna miaka ikifika sisi kama wanaume hatukuoi
There you are infact hivi vidada vya chuo ukiviambia ukweli bas vina vimbaga utasikiaa ooh kwan kuolewa ni lazima wengine utaskia hatuna mpango wa kuolewa na wengine oooh siwaamin wanaume coz wote wako sawa.....Kuna wanawake 3 tofauti niliongea nao na maongezi
1. Nyie wanaume mna raha sana maana mkiamua kuoa, mnajipanga tu hata miaka miwili mnatafuta mke mnaanza maisha.
Ila sisi wanawake unafika wakati unataka mume ila kila anayekuja anagonga na anasepa.
2. Kuna mwingine nilipita namweleza twende kwenye mahubiri; akanambia kama niko tayari kumuoa ataambatana nami.
3. Huyu aliniambia yuko tayari kubadili dini kwa kijana yeyote atakayekuwa tayari kumuoa. Hataki abadili dini then aendelee kuishi kwao. Bali anataka awe na mume naye.
Kwa nyakati tofauti na usiniulize age zao.
Mioyo yao imebeba huzuni na furaha zao ni kupata wenza wa maisha.
Ndio maana side chiks ni nying na hazitokuja kuishaa her choice is her friend's HubbyKwa wanawake hii ni changamoto sana ila kwa sisi wanaume ni suala la maamuzi tuu.
Wanawake nao wana choises zao. Lakini sasa kumpata mtu anaempenda yeye ndio issue. Wanawake inabidi wawapende wenzi wao sababu nao wanawapenda wao
Jipe moyoHivi unafikiri wote tukiingia uwanjani kucheza mpira watazamaji watatoka wapi? Sio lazima wote waolewe
Acheni kurudia mad na mnamajibu mnataka tufe au tuwalogee shie huyu.Dada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi??
Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi
Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi
Au bado unaamini wakati wako wa kuolewa hujafika?? Ukiona una age 30+ na hujaolewa bhs jua kuna sehem unakosea na age hio possibility ya kuolewa ni ndogo sana.
JIMAPILI NJEMA.
There you are infact hivi vidada vya chuo ukiviambia ukweli bas vina vimbaga utasikiaa ooh kwan kuolewa ni lazima wengine utaskia hatuna mpango wa kuolewa na wengine oooh siwaamin wanaume coz wote wako sawa.....
Sasa mi nawaza ukimtizana dada mwenyewe ndo kwanza ana miaka 19/20 then.....................dah huwa nacheka sana kweli The future is exiting....
yajayo nafurahishaa
Mtoa mada nikuulize na wewe unajiskiaje ukiona vijana walio sawa naa wewe kiumri au wengine wadogo zaidi yako wanafikwa na umauti na wewe bado upo tu unadunda huku duniani? Hua unajiskia mungu amekusahau au?
Tusiulizane maswali ya kipuuzi ndoa ni mipango ya mungu sio ya binadamu ni Rizqi kama Rizq nyingine zinavotolewa kwa muda na saa mungu anayotaka
Mkuu umeenda beyond sana, nje na topic
Kweli kabisa, walio wengi hawajajua hii inshu hadi iwafike ndipo hujua ukweli wa mambo;There you are infact hivi vidada vya chuo ukiviambia ukweli bas vina vimbaga utasikiaa ooh kwan kuolewa ni lazima wengine utaskia hatuna mpango wa kuolewa na wengine oooh siwaamin wanaume coz wote wako sawa.....
Sasa mi nawaza ukimtizana dada mwenyewe ndo kwanza ana miaka 19/20 then.....................dah huwa nacheka sana kweli The future is exiting....
yajayo nafurahishaa
Beyond what? Si unataka watu wajilinganishe na wengine.
MO DEWJI mwanaume kama wewe mbona yeye ana pesa kukuzidi? Riziqi mafungu saba mzee baba kila mtu ana fungu lake. Kupata kwa mwenzio sio ujanja wake au wewe kukosa sio uzembe wako.
Kweli kabisa, walio wengi hawajajua hii inshu hadi iwafike ndipo hujua ukweli wa mambo;
Fikiria unaongea na ke 34 yrs anakwambia haamini siku atakayopata mume! Anasema anahisi atakufa kwa furaha siku ya ndoa akibahatika! Na hapo hana hata mchumba! Na amesoma na anaendesha maisha yake.
Kwahiyo hao wanaojichetua hivyo ni kuwaacha tu watajionea wenyewe!
Ahsante mzee baba salamu zako tumezipata
HelloNaliaga kwa uchungu nikisema ee Mola.............
Kama ni kufua, kudeki, kusafisha vyombo najua!
Kama ni kumsalimia mama mkwe, wifi na mashemeji kwa goti, nimefunzwa
Kama ni kulima na kutunza mifugo, including watoto wa kufikia pia nipo tayari; Sasa kwanini unitupe mja wako kwa kuwa sina chura!
HelloHello
Naomba kuongea nawewe dear kama hutajali.
Hello
Karibu