Dada zetu, hii maana yake nini?

Dada zetu, hii maana yake nini?

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
5,352
Reaction score
7,662
Tuassume una girlfriend wako ambaye ni mwanachuo/mfanyakazi, hivyo hamuishi pamoja yeye huja kukutembelea au kulala mara moja moja.

Wewe mwanaume ni mfanyakazi.

Kitu nashindwaga kuelewa:

Utakuta huyu bidada anaacha vitu vyake kama chu.pi, khanga, pedi, handbag n.k. Kuacha hivi vitu sio kesi, tatizo ni kwamba anaviweka sehemu ya kuonekana na akikuta umevihamisha kuviweka kwenye kabati anakua mkali kama mbogo aliyetoka kujeruhiwa!!!

Inakua mbaya zaidi kama mwanaume umepanga chumba kimoja, mgeni akiingia akakuta chup.i ya kike imetundikwa hadharani sijui ataondoka na picha gani! Au pedi iko mezani!! anaweza akadhani wewe ni SHEMALE!!

Ilinitokea mimi kipindi cha nyuma na leo imemtokea jamaa yangu.

Labda tuwaulize tu ninyi wadada, haka katabia maana yake nn? dada mmoja amenidokeza eti mnafanya hivi ili mwanamke mwingine akija kwangu ajue nina mpenzi! lakini bilashaka kunaweza kukawa na sababu nyingine...


Hebu tiririkeni

KAMA UMEAMKA NA HANGOVER USICOMMENT TAFADHALI, USIJE UKACHAFUA HALI YA HEWA.
 
Tuassume una girlfriend wako ambaye ni mwanachuo/mfanyakazi, hivyo hamuishi pamoja yeye huja kukutembelea au kulala mara moja moja. Wewe mwanaume ni mfanyakazi.

Kitu nashindwaga kuelewa:

Utakuta huyu bidada anaacha vitu vyake kama chu.pi, khanga, pedi, handbag n.k. Kuacha hivi vitu sio kesi, tatizo ni kwamba anaviweka sehemu ya kuonekana na akikuta umevihamisha kuviweka kwenye kabati anakua mkali kama mbogo aliyetoka kujeruhiwa!!! Inakua mbaya zaidi kama mwanaume umepanga chumba kimoja, mgeni akiingia akakuta chup.i ya kike imetundikwa hadharani sijui ataondoka na picha gani!!! Au pedi iko mezani!! anaweza akadhani wewe ni SHEMALE!!

Ilinitokea mimi kipindi cha nyuma na leo imemtokea jamaa yangu.

Labda tuwaulize tu ninyi wadada, haka katabia maana yake nn? dada mmoja amenidokeza eti mnafanya hivi ili mwanamke mwingine akija kwangu ajue nina mpenzi!!! lkn bilashaka kunaweza kukawa na sababu nyingine...


Hebu tiririkeni

KAMA UMEAMKA NA HANGOVER USICOMMENT TAFADHALI, USIJE UKACHAFUA HALI YA HEWA.

Subiri wanakuja wako kwenye foleni!
 
Abiria chunga mzigo wako,

Weka picha tafadhali
 
Ivi hizi mada huwa wana copy na kupaste?
Niliwahi iona hii huku, anyway mie sina jibu.
 
Ivi hizi mada huwa wana copy na kupaste?
Niliwahi iona hii huku, anyway mie sina jibu.

Hapana mkuu!

Hiki ni kisa cha kweli kabisa!

Na kwa kuzingatia misingi ya "intellectual property law"

Naomba nikuhakikishie kwamba sijacopy na kupaste.
 
Back
Top Bottom