father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 835
- 642
hivi dada zangu msipojipaka hiyo "milupostick" huko midomoni mnadhani hatutawapenda............?
why painting urself like a clown...............?why..............?
au mpake zile lipshine za kungarisha tu lkn sio kujijaza mitakataka usoni utazani clown...............!
nawaoneaa huruma yaani unakuta demu kajipaka mirangi mingiiii utadhani mwenzie kamwambia "paka nyingi ukija unipunguzie"...............!
halafu unakuta kajipaka kama hivi halafu anakutizama kwa nyodo na mapozi huku anakukunjia mdomo kwa dharau aaah utachoka mwenyewe!
pakeni kwa kiasi...............!sawa eeeh..........!