Dada zangu uzuri wa mwanamke sio sura

Dada zangu uzuri wa mwanamke sio sura

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,793
Reaction score
5,042
Hawa dada zetu warembo kuna mda wanajichanganya saana alafu wanakuja kujitambuwa tayari maisha yao hayana tena thamani yaani nina maana mfano kuzalia kwao au kujiingiza kwenye mambo ya ajabu ajabu kama umalaya

Kuna mmoja mtaani kwetu kazi yake ilikuwa kutukana wanaume tu utasikia yule karusha vumbi atoke nanani?

Cha ajabu wale ambao kweke alikuwa anaona ndo size yake walimpa mimba wakasepa zao cha kuhuzunisha ni kuwa wale amba alikuwa anaona ndo karusha vumbi kipindi kile ndo wana mpa pesa na kula chuchudede kirahisi kabisa
Thamani yake imepotea kwa sasa ni cha wote wenye pesa zao

Kwa hiyo sura yako isikudanganye kuwa ulivyo mrembo hutakosa mwanaume wa kukuoa kisa wewe mzuri
Na kutongozwa saana sio kuolewa

Jifunze tabia njema. na acha dharau


Good morning kwenu
 
Niko pembeni kabisa nichukulie muhindi na mayai
 
Sikuhiz watu hatuzalii nyumbani tunazalia hospitali 😂😂😂😂
Ila tumeelewa tutalifanyia kazi
 
MatterCall
MatterCall
MatterCall

Nitarudi..
 
Unajua ni raha sna kuwa na demu pisi hairingi, inajiheshimu, mnyenyekevu na upstare yupo vzr

Acha tu [emoji119]

Yani anavutia afu anavutia zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom