Mimi nadhani tuwaache wanawake wachague mtu wanayeona anawafaa kutengeneza nao maisha. Ajibebee tu then what? Maisha haya kila mtu aishi kufuatana na vile anataka kuishi. Kwani lazima awe na ndoa, au imeandikwa wapi kuwa mtu mume au mke atalaaniwa asipoingia kwa ndoa?
Acha watu waishi vile wanavyopenda muhimu wasivunje sheria za nchi.