Dada zangu poleni sana!

Dada zangu poleni sana!

julius mahinya

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
1,152
Reaction score
384
Jamani wathirika wakubwa wa social media ni wabidada! unajua nini leo nilipanda daladala nikakaa seat ya nyuma mbele yangu kuna mzee misiri ya Mh. wsr anachat na mrembo whatsup anamrushia verse na mdada karibu nyingi kama anampata vile mzee wa watu, mwisho wasiku kamkubalia jamaa!
Mnapaswa kubadilika jamani be serious mzee si tu waajabu anadandia daladala na akina j.mahinya wenye miaka 20 na kitu huku yeye ni misiri ya Mugabe huenda hata bimkubwa huko home hajala zee lina ipad linachat na warembo macho juu kwenye daladala wanapeana promises! Heshimuni ndoa za watu wenye umri wa baba na babu zenu mabidada duh!!!
 
Wazee mwisho Chalinze, wa wapi wewe. Mjini ni vijana wa zamani. Kwenye kona kona tuko pamoja.
 
Yaani kwenye daladala ulionaje jinsi mtu anavyochat na anachat na nani? Ningekuwa mie ningekuwa nakutukana kwa kumsimulia kuna mmasai aanachungulia nnachoandika! Khaa!

Hahahaha, ina maana mmasai ndo tusi?
 
Wazee mwisho Chalinze, wa wapi wewe. Mjini ni vijana wa zamani. Kwenye kona kona tuko pamoja.
sio kila msemo unadumu na kutumika kwa kila hali! kuna mazingira ya huo msemo mkuu sio kila kitu wazee mwisho chalinze! kwanza zee hata kuandika lilikuwa linatetemeka, linasifia picha na mapozi ya mrembo soph!
 
Mkuu umewaashika pabaya


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
sio kila msemo unadumu na kutumika kwa kila hali! kuna mazingira ya huo msemo mkuu sio kila kitu wazee mwisho chalinze! kwanza zee hata kuandika lilikuwa linatetemeka, linasifia picha na mapozi ya mrembo soph!

Wewe tabu yako nini?? Kwani mzee aitaji malavi davi. Na wao wanaitaji vitu not much used, zimetembea kilometa chache. Wazee ndio wanao tusaidia kutatua mahitaji ya wapenzi wetu. Wewe ukiombwa laki moja tu, utazima simu wiki.
 
Yaani kwenye daladala ulionaje jinsi mtu anavyochat na anachat na nani? Ningekuwa mie ningekuwa nakutukana kwa kumsimulia kuna mmasai aanachungulia nnachoandika! Khaa!
King'ast ................................!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Yaani kuna watu wanatetea badala ya kuchukua ujumbe
 
Back
Top Bottom