Una haki kusema ivyo ila kama unamaadili mema natumaini hutaweza kunyamaza sababu kama awajaweka kwa mpangilio mzuri wenye heshima machoni pa watu usiseme?
kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA
kwa mabinti ukienda vyumbani kwao utakuta wametundika nguo zao za ndani kila m2 anaona je huu ni ustarabu ama ni kwanini msiziweke sehemu za faragha? JE HUU NI HUUGWANA