figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
hii tabia imeshamili sana kwenye club za dar es salaam.unakuta mtu umeenda disco single uko tungi.dj anawachangamsheni kwa nyimbo,kidogo ule wimbo wa Rupee wa tempted to touch unapigwa,kuangalia kushoto unamuona mrembo anakufuata akikatika mauno.unacheza nae.kidogo dj anaweka wimbo wa this why i'm hot wa mims unasikia anakwambia eti nmechoka nina kiu ninunulie pombe.hapo ndo mimi nashangaa mtu hamjawahi hata kuonana umecheza nae wimbo mmoja tu.muulize sasa anakunywa kinywaji gani mh!.ndo maana nawapotezea.