MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,855
- 6,213
Heshima kwenu brothers and sisters,
Nimetoka home asubuh dada yangu kanishangaza sana, anafanya kazi somewhere na huwa anaenda mwenyewe na usafir wake siku zote ..na tena toka amenunua hako kagari kapya hata hatak hata nikiguse as kipya kinyemi..
Sasa alichonishangaza amependeza sana kuliko kawaida then leo kanipa funguo mwenyewe as nimdrop kazin then niachane nae and kaniazima na handset yangu ya bei rahis then kaweka line namuuliza sister leo niaje sikusomi.. Anadai amealikwa dinner date somewhere so hivyo vitu vitaharibu pozi na kuonekana sister du expensive wakati hana lolote...
Nikashangaa sana mpaka sasa haiji akilini labda wadada na wadau wengine mnifafanulie hii inakuaje ni kawaida au mwenyewe tu ajiamin
Nimetoka home asubuh dada yangu kanishangaza sana, anafanya kazi somewhere na huwa anaenda mwenyewe na usafir wake siku zote ..na tena toka amenunua hako kagari kapya hata hatak hata nikiguse as kipya kinyemi..
Sasa alichonishangaza amependeza sana kuliko kawaida then leo kanipa funguo mwenyewe as nimdrop kazin then niachane nae and kaniazima na handset yangu ya bei rahis then kaweka line namuuliza sister leo niaje sikusomi.. Anadai amealikwa dinner date somewhere so hivyo vitu vitaharibu pozi na kuonekana sister du expensive wakati hana lolote...
Nikashangaa sana mpaka sasa haiji akilini labda wadada na wadau wengine mnifafanulie hii inakuaje ni kawaida au mwenyewe tu ajiamin