Heshima kwenu brothers and sisters,
Nimetoka home asubuh dada yangu kanishangaza sana, anafanya kazi somewhere na huwa anaenda mwenyewe na usafir wake siku zote ..na tena toka amenunua hako kagari kapya hata hatak hata nikiguse as kipya kinyemi..
Sasa alichonishangaza amependeza sana kuliko kawaida then leo kanipa funguo mwenyewe as nimdrop kazin then niachane nae and kaniazima na handset yangu ya bei rahis then kaweka line namuuliza sister leo niaje sikusomi.. Anadai amealikwa dinner date somewhere so hivyo vitu vitaharibu pozi na kuonekana sister du expensive wakati hana lolote...
Nikashangaa sana mpaka sasa haiji akilini labda wadada na wadau wengine mnifafanulie hii inakuaje ni kawaida au mwenyewe tu ajiamin
Jicho langu limesikia hv..... Omba afanikiwe kwny hyo interview, na ujiandae kukagusa sasa kagari kake, mana jamaa atampa kengine. Ila tafuta yko. Sory lakini.
Anakutaka huyo hana lolote
I have my own car na naiuza now niongeze nitafute nyingine,, mi na my sister tunapatana sana na hata zaman tulikuw tunabadilishana magar but toka amenunua hako ka rav 4 kapya atak nikaguse as spare gharama anadai naendesha rafu... But nimeshangaa leo kuniachia na kuomba nimuendeshe mpaka ofisin then niende job kwangu na hata kurud nisimpitie..
Tunaelewana ndo maana akunificha kwamba ana date jion na siwez kupinga as umri wa wedding bells umeshafika, nilichoshangaa ni kwa nini asijiweke kawaida sabab nahis hata huyo jamaa atakua anamjua vizur.. Je kila siku ataacha hiyo I phone kisa anaenda date? Ni bora angejiweka wazi toka mapema as kuwa na gari mjini hapa sio ishu as mikopo kibao maofisin...
Yuko sawa lazima kuwe na visuprise vya kutumia baadae, si vizuri kuonyesha silaha zako zote at a go!Heshima kwenu brothers and sisters,
Nimetoka home asubuh dada yangu kanishangaza sana, anafanya kazi somewhere na huwa anaenda mwenyewe na usafir wake siku zote ..na tena toka amenunua hako kagari kapya hata hatak hata nikiguse as kipya kinyemi..
Sasa alichonishangaza amependeza sana kuliko kawaida then leo kanipa funguo mwenyewe as nimdrop kazin then niachane nae and kaniazima na handset yangu ya bei rahis then kaweka line namuuliza sister leo niaje sikusomi.. Anadai amealikwa dinner date somewhere so hivyo vitu vitaharibu pozi na kuonekana sister du expensive wakati hana lolote...
Nikashangaa sana mpaka sasa haiji akilini labda wadada na wadau wengine mnifafanulie hii inakuaje ni kawaida au mwenyewe tu ajiamin