Dada yangu atapata haki Kisheria baada ya talaka?

Dada yangu atapata haki Kisheria baada ya talaka?

cloudear

Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
76
Reaction score
59
Dada yangu ndoa yake ina mgogoro 4 2months, wana 12yrs, ndoa yakikristo, 3kids ke 10yrs, me 8yrs, me 4yrs. chanzo ni uzinzi wamume uliokithiri, anazini na wanafunzi, wanawake wamtandaoni, karibu kila kona anahawara, mara yamwisho dada alifuma sms kwenye simu ya shem, inasema,
''mke wangu nakumiss sana napanga nije tena Arusha tumtafutie Bryan mdogo wake amekua sana, mke huyo akamjibu we mi naogopa usije ukanitelekeza tena.''

Dada akamuuliza kumbe una hawara hadi umezaa nae? Mume kawa mkali anadai dada hana adabu kwanini apekuepekue simu yamumewe? Mke akalia sana mume hajali, sasa hawasemeshani kilammoja anafanya lake, mke anajiendeleza chuo, hutoka asubuhi anarudi jioni kimya, jana kaja kwangu tumeshinda kanisani maombi, kufika kwake ugomvi ukatibuka mume anadai J4 ataenda kumpa talaka mahakamani sababu anakiburi eti watu huishi nawanaume malaya nakuwaheshimu, kwanini ye hamheshimu kaambiwa awaache watoto kwamume, namali zote haziache nizawatoto, mume ataziangalia, dada anataka wanae na mali.

Je, atapewa wanae namali kweli?
 
Atapata mali kabisaaaaaa

Mwambie apambane mfyuuuu zake huyo mwanaume mzinzi...mali za watoto aziangalie yeye kwa kuwa ndiye mwenye macho au?????

Tena mwambieni atangulie mahakamani


Ngoja nishushe jazba narudi
 
Vizuri ungeipeleka jukwaa la sheria ila si mbaya nadhani humu pia kuna wanasheria watakusaidia
 
Nami niulize wanawake wa mtandaoni ndio wepi hao? anawagonga kupitia skype?
 
Naona unaanza kulilia na kupigania kabisa mali za shemeji teh teh teh

Usijali mtapata japo kwa kuchelewa
 
Anataka talaka: miezi miwili ya migogoro ya ndoa. Huoni talaka inaharakishwa bila kutumia njia nyingine za kunusuru ndoa?
 
Kupata haki itategemea kajipanga vipi. Jamaa anaweza kuwa na wawakilishi wazuri zaidi, akatengeneza ushahidi, ngoma ikageuka. Hujatuambia kama huyo Dada ana ushahidi wowote kuwa jamaa si muaminifu.
 
Nyie familia mtulizeni dada yenu;
talaka siyo nzuri, ataishia kuolewa na kuachika tena mwisho ataonekana mhuni.
Hata kama atapewa mali .............?

Kulea watoto pekee yako siyo lelemama, mwisho hata ndugu wanakuacha.

............... by the way mpe pole.
 
Dada yangu ndoa yake ina mgogoro 4 2months, wana 12yrs, ndoa yakikristo, 3kids ke 10yrs, me 8yrs, me 4yrs. chanzo ni uzinzi wamume uliokithiri, anazini na wanafunzi, wanawake wamtandaoni, karibu kila kona anahawara, mara yamwisho dada alifuma sms kwenye simu ya shem, inasema,
''mke wangu nakumiss sana napanga nije tena Arusha tumtafutie Bryan mdogo wake amekua sana, mke huyo akamjibu we mi naogopa usije ukanitelekeza tena.''

Dada akamuuliza kumbe una hawara hadi umezaa nae? Mume kawa mkali anadai dada hana adabu kwanini apekuepekue simu yamumewe? Mke akalia sana mume hajali, sasa hawasemeshani kilammoja anafanya lake, mke anajiendeleza chuo, hutoka asubuhi anarudi jioni kimya, jana kaja kwangu tumeshinda kanisani maombi, kufika kwake ugomvi ukatibuka mume anadai J4 ataenda kumpa talaka mahakamani sababu anakiburi eti watu huishi nawanaume malaya nakuwaheshimu, kwanini ye hamheshimu kaambiwa awaache watoto kwamume, namali zote haziache nizawatoto, mume ataziangalia, dada anataka wanae na mali.

Je, atapewa wanae namali kweli?

eti nini?????
 
Nyie familia mtulizeni dada yenu;
talaka siyo nzuri, ataishia kuolewa na kuachika tena mwisho ataonekana mhuni.
Hata kama atapewa mali .............?

Kulea watoto pekee yako siyo lelemama, mwisho hata ndugu wanakuacha.




............... by the way mpe pole.

lakini si mwanaume ndo aliyesema kwamba atatoa talaka kwa kuwa mke hampi heshma pamoja na umalaya wake....mume huyo anatafuta sababu ya kuachana na bibie atanue vizuri na hawara yake... yanini kuleteana maugonjwa usawa huu..
 
dada hapo amalize shule apate kazi yake...atalea tu..... kama mali zimechumwa wakiwa wawili.. lazma apate chake..mijianaume mingine bana..!!!
 
Kawaida mitihani ya ndoa huwa migumu ndo maana wanaanza kutoa vyeti mitihani inafatia baadae!
 
atafute mwanasheria mapema kabisa kabla hajawaiwa hizo mali zinaweza kuzuiwa kwa hila za mumewe
 
Tena huko mahakama ndio atapata haki yake, akubali tu mmue afile kesi au hata yeye anaweza kufungua kesi, mgao wa mali atapata, mtoto mdogo ataachiwa hao wakubwa wameshazidi miaka 7 wataulizwa wanataka wakae na nani kati ya baba na mama
 
Dada yangu ndoa yake ina mgogoro 4 2months, wana 12yrs, ndoa yakikristo, 3kids ke 10yrs, me 8yrs, me 4yrs. chanzo ni uzinzi wamume uliokithiri, anazini na wanafunzi, wanawake wamtandaoni, karibu kila kona anahawara, mara yamwisho dada alifuma sms kwenye simu ya shem, inasema,
''mke wangu nakumiss sana napanga nije tena Arusha tumtafutie Bryan mdogo wake amekua sana, mke huyo akamjibu we mi naogopa usije ukanitelekeza tena.''

Dada akamuuliza kumbe una hawara hadi umezaa nae? Mume kawa mkali anadai dada hana adabu kwanini apekuepekue simu yamumewe? Mke akalia sana mume hajali, sasa hawasemeshani kilammoja anafanya lake, mke anajiendeleza chuo, hutoka asubuhi anarudi jioni kimya, jana kaja kwangu tumeshinda kanisani maombi, kufika kwake ugomvi ukatibuka mume anadai J4 ataenda kumpa talaka mahakamani sababu anakiburi eti watu huishi nawanaume malaya nakuwaheshimu, kwanini ye hamheshimu kaambiwa awaache watoto kwamume, namali zote haziache nizawatoto, mume ataziangalia, dada anataka wanae na mali.

Je, atapewa wanae namali kweli?

Sheria itasimamia haki lakn itadepend na jinsi utavo tetea haki yako. Kikubwa uwe na ushahid wa kutosha.
 
Back
Top Bottom