Dada yangu anatafuta Kazi

Kwangu mm, naona sio vizur kuanika namba ya mtoto wa kike hadharani
Kwanini usitoe namba zake moja kwamoja, kwani unadhani humu watu hawapo serious? Japo fake wapi pia,
 
Mimi nna shida na kijana wa kiume awe na 18-20 kazi kubwa ni kubaki na nyumba usafi/kupika chakula hususan cha kwake mambo yote kwangu mshahara ni 50,000/= naitaji zaidi wa kutoka Iringa na mbeya,kusini siwaitaji.
Pwani tumetengwa
 
Mimi nna shida na kijana wa kiume awe na 18-20 kazi kubwa ni kubaki na nyumba usafi/kupika chakula hususan cha kwake mambo yote kwangu mshahara ni 50,000/= naitaji zaidi wa kutoka Iringa na mbeya,kusini siwaitaji.
Ukikosa wa kiume wa kike nipo apa ntakua wa day
 
Mshahara 30000/= analala apoapo kazi za nyumbani DAR. Kama bado yupo njoo PM
 
Elimu yake ikoje mkuu, na mwonekano wake ukoje? Je anafaa kukaa mapokezi?
 
Yaan humu unaweza kuwa serious lakini coment za watu zikakufanya na wewe ukaonekana mwehu kwa kurespond kiwehu wehu!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…