Dada yake MBOWE aikacha CHADEMA ajiunga na CCM!!

sokoinei

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2012
Posts
1,832
Reaction score
566
Wakati Mwenyekiti wa taifa CHADEMA mh Freeman Mbowe na baadhi ya Wabunge wakihojiwa na jeshi la polisi mkoani Iringa kwa kile kinachodaiwa na jeshi hilo ni kupitiliza muda wa kuhutubia ktk mkutano uliofanyika siku ya jumamosi, Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE,ameamua kuikacha CHADEMA na hatimae kujiunga na CCM!!

SOURCE; Gazeti la Uhuru (Radio Free Afrika)

 
Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.

Hongera sana Grace Mbowe.

Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.
 
Amejitambua kuwa yeye hawezikuwa msukule.

Inawezekana Mbowe alitaka ampeleke kwenye vurugu akaona upuuzi.

soon vijana wengi watajitambua pia
 
Afadhali ya dada mtu kuliko mtoto wa mtu (Mh. Wassira)
 
Nini sasa? So umeona news ndio hiyo tu gazeti zima!!

Nilichoandika Kamanda ni kile kilichoandikwa na Gazeti. Lakini pia hii ni sawa na kusikia kuwa MBWA kamngata mtu na ukasikia MTU kamngata mbwa je hapo habari ni ipi?
Siku zote tumezoa kusikia au kuona mbwa akimngata mtu, lakini siku ukisikia au ukiona mtu kamngata Mbwa, lazima utashangaa sana!!
Kwa hiyo km habari hii iliyoandikwa na gazeti hili la Uhuru kongwe la Chama chama Pinduzi ni ya kweli basi lazima ionekane ndio habari kuu ktk gazeti hilo.

Ila binafsi siamini hili gazeti la uhuru kwani lipo kichama na kipropaganda zaidi. Ngoja tusubiri tutajua ukweli muda sio mrefu!!
 
Kimsingi Chadema ni chama cha kifamilia hilo lipo wazi wala haliitaji PhD kulitambua.

Mmiliki wa Chadema ni Mtei, na Mwenyikiti wa Chadema ni Mbowe, ambaye ni mkwe wa Mtei,

Kuna uwezekano mkubwa wa kimaslahi ndani ya familia ndiyo maana Grace Mbowe, kuamua kuondoka Chadema na kwenda CCM.

Tutasikia mengi pindi Grace Mbowe, atakapofunguka zaidi.
 
Umeulizwa mbona kwenye ishu zinazohusu unga mbona huwa unalala mbele? Mbona kwa kamanda Esta wasira hukushangaa? Au akinya kuku.......,..!!
 
Jamani mbona ni haki yake kikatiba? MMesahau Makongoro aliwahi kuwa upinzani wakati Mwl. Nyerere (Baba mzazi akiwa CCM), tunalikuza saana hili jambo, ila inaleta picha kuwa kweli CCM mnaigopa CHADEMA. Hivi mnataka kutuaminisha kuwa ukoo woote wa Dr. Slaa wako CHADEMA? au ukoo wa Mh. Nyerere wote wako CCM? suala la kuingia chama chochote ni utashi wa mtu, hivyo Grace ameamua tumtakie mema huko alikoenda
 

Kutakuwa kuna fungu la mgao kapigwa panga xaxa kaona "inatosha" kama vipi bora awe gamba tu.
 
Huyo Mama ni Mfano wa Kuigwa na Wanawakle wengine wa Tanzania wanaodanganywa kwenda kwenye maandamano waache majukumu ya kujenga uchumi wa Familia. Chadema wanadharau sana wanapojenga hoja.
 

CHADEMA sio mali ya mtu,ni mali ya wa Tanganyika na wa Zanzibar,ajabu ipo wapi kama kaamua kuondoka?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…