Lucky Star JF-Expert Member Joined Jul 16, 2017 Posts 1,904 Reaction score 3,264 Aug 17, 2021 #81 Offshore Seamen said: Kile kifungu Cha amtamaniye mwanamke amezini nae haiko fair kabisa. Anayekula kwa macho na anakula mbashara kupata dhambi sawa ni uonezi Click to expand... Basi kama mambo ni hayo, natubu na sitatazama tena tv, magazeti ya udaku, mitandao ya kijamii nitasoma jukwaa la sheria na dini basi. Bila hivyo kwa hulka zangu nitaona aibu hata kujitetea siku ya hukumu
Offshore Seamen said: Kile kifungu Cha amtamaniye mwanamke amezini nae haiko fair kabisa. Anayekula kwa macho na anakula mbashara kupata dhambi sawa ni uonezi Click to expand... Basi kama mambo ni hayo, natubu na sitatazama tena tv, magazeti ya udaku, mitandao ya kijamii nitasoma jukwaa la sheria na dini basi. Bila hivyo kwa hulka zangu nitaona aibu hata kujitetea siku ya hukumu
Lucky Star JF-Expert Member Joined Jul 16, 2017 Posts 1,904 Reaction score 3,264 Aug 17, 2021 #82 Flano said: Hawa ndio wanatafutwa na Taliban Click to expand... Taliban hawataki kuwaona hawa sababu wakiwaona mbele wakati wa kushambulia watasitisha mpango wa mapinduzi.
Flano said: Hawa ndio wanatafutwa na Taliban Click to expand... Taliban hawataki kuwaona hawa sababu wakiwaona mbele wakati wa kushambulia watasitisha mpango wa mapinduzi.
Waterbender JF-Expert Member Joined Oct 2, 2018 Posts 7,913 Reaction score 10,719 Aug 17, 2021 #83 Amani bm 150 said: Mkuu bhna ko umejipima umeona aah nazuga sana Click to expand... haya matako yata niuwaa sijui hii tabia nimetoa wapi
Amani bm 150 said: Mkuu bhna ko umejipima umeona aah nazuga sana Click to expand... haya matako yata niuwaa sijui hii tabia nimetoa wapi
Waterbender JF-Expert Member Joined Oct 2, 2018 Posts 7,913 Reaction score 10,719 Aug 17, 2021 #84 raraa reree said: Pisi kama hii Mungu anakupa adhabu kifungo cha nje miezi 6 Baada ya hapo geti unafunguliwa unazama mbinguni😛😛😛 Click to expand... hata mwaka tu
raraa reree said: Pisi kama hii Mungu anakupa adhabu kifungo cha nje miezi 6 Baada ya hapo geti unafunguliwa unazama mbinguni😛😛😛 Click to expand... hata mwaka tu
Amani bm 150 JF-Expert Member Joined Aug 29, 2019 Posts 315 Reaction score 490 Aug 18, 2021 #85 Waterbender said: haya matako yata niuwaa sijui hii tabia nimetoa wapi Click to expand... ugonjwa wa dunia huu tuishi nao tu mkuu
Waterbender said: haya matako yata niuwaa sijui hii tabia nimetoa wapi Click to expand... ugonjwa wa dunia huu tuishi nao tu mkuu
bravocharlie JF-Expert Member Joined Feb 1, 2020 Posts 861 Reaction score 860 Aug 19, 2021 #86 Yule dada ya 40 forty Ila nimegundua ni 40 forty ya kenya