Dada wa Kikenya alipotaka ku..Aliniambia huku ananiangalia machoni!!. . . .

Kwanza kabisa fahamu kuwa Kenya ni nchi ya Kibepari kwa hiyo hakuna Mkenya anayeweza kukutembeza katika viunga vya Nairobi, Mombasa au Thika bila malipo kama ulivyomtembeza huyo Dada Mwanza, kwa hiyo alifahamu kuwa mwisho wa siku utamwomba ndururu. Sasa kwa kuwa aliona humwombi ndururu kwa kazi ya kumtembeza, akaona akulipe in kind ili naye afaidi. Pili, Wakenya wanawazimia Watnzania ikiwa ni pamoja na kupenda kuolewa Tanzania ili waweze kutanua familia zao na kupata ardhi Tanzania, baada ya kukuliza kama umeoa ukasema bado alitaka kuanza kujenga uhusiano kuelekea kwenye ndoa. Tatu, Wakenya wako wazi wanapohitaji kitu hawammunyi maneno na kwa kuwa ni shida kujieleza kwa lugha ya Kiswahili ndio maana akakwambia uende kum........bila tafsida. Vile vile angeweza sema.....unaweza enda kuni-screw ?............kwa hiyo kama hujaoa ulipoteza nafasi !!! Kama ulichukua safaricom yake, wasiliana naye ule hiyo kitu, lakini usicheze mpira bila viatu mpaka utakapotmbea Angaza Zaidi.
 
wanaume walalamishi jaman,mkiombwa vocha mnachonga,mkiombwa lift mnasema sasa mnaombwa vikojoleo tena mnachonga jaman khaa.mbona hajakosea mdada wa wa2 kaweka ki2 peupee ni hiyari yako kukubali ama kukataa cio inshu kivilee
 
Aisee, nimegundua kitu flani kupitia uzi huu, wanawake wengi wamechangia kumuunga mkono mwanamke mwenzao(mkenya), tafsiri yake ni kwamba wao pia wanatamani sana wawe kama huyo mkenya ila uwezo wa kutamka hamna, poleni sana!
 
Aisee, nimegundua kitu flani kupitia uzi huu, wanawake wengi wamechangia kumuunga mkono mwanamke mwenzao(mkenya), tafsiri yake ni kwamba wao pia wanatamani sana wawe kama huyo mkenya ila uwezo wa kutamka hamna, poleni sana!
hata hamu ya iyo kitu hatuna
 
kwani mdada kukuomba ni tatizo?
mbona nyie wanaume mnatuomba?
sie tukiwa na shida na iyo kitu mnaona isue sio mbona sisi sometimes tunawapa mkituomba... hukumfanyia fair kwa kweli ...
ndo maana mimi huwa simpi mtu...
sipewi na mimi sitoi

Unakumbuka maswali ya Kanusha sentensi hizi.............! Unasemana unatoaga sana tu ukiombwa, mara hutoi, hupewi! Kiufupi tu ni kwamba wanawake huwa mnajisikia vibaya sana mkiomba na msipewe. Binafsi nimemwonea huruma huyo dada! Sometimes lugha wenzetu inasumbua sana! Hawana tafsida, siro rahisi kuambiwa twende tukat.......e na hapo kwa hapo ukafuata kama kondoo anapelekwa machinjioni. Beautiful sex starts with mental preparation!
 
Kwanza haijawahi kunitokea,huu ni ukweli.Alivyoniambia nilihisi miguu ikilegea! Nilikutana na dada huyu akaniambia ni Mkenya. . . Akaniuliza kama ni mwenyeji hapa Mwanza nikamwambia ndio.

Akaniomba nimsaidie kumpeleka baadhi ya maeneo fulani hivi, nilimpeleka. . . Wakati nakutanana nae jana ilikua saa 8 mchana.

Nilimpa msaada aliouhitaji kwani jana jumapili sikua na kazi nilimaliza mizunguko yangu mapema,na ilipofika saa 11 jioni akawa amekamilisha kazi yake akaniambia anataka akanywe juisi,nikampeleka,wakati tunakunywa ndipo akaniambia "(akinitaja jina kwani nilimwambia). . . .

Nakushukuru kwa msaada ila ningefurahi kama tungeenda ukani. . .(akataja tendo la ndoa bila tafsida) nitafurahi zaidi na nitaona nimekushukuru vizuri"!!!!

Kwanza juisi niliyotaka kuimeza ilinikaba,kisha nikaduwaa!Nilikosa la kusema kisha nikagundua miguu imelegea!Ilibidi nikurupuke. . . Eeeeee. . Mmmmmm thanks,usijali nimekusaidia tu dada!!

Alijitahidi kunisihi mwishowe ikabidi nimpe excuse ya ugonjwa akanielewa japokuwa hakuridhika!Nilitamani nimdanganye nimeoa lakini wakati tuko kwenye mizunguko aliniuliza kama nimeoa nilimwambia ukweli kuwa sijaoa!Dah nimejiuliza sana kwa taharuki ile ilisababishwa na nini sipati jibu.

Sijui ni kwa kuwa sipo kwenye mahusiano muda mrefu!Yaani na umri hu wa miaka 3.... kidogo nionekane katoto. . .Lol! Jamani wadada wamebadilika unapokutana nae jiandae kwa lolote!!!!Dada huyu anaondoka leo mchana na Akamba!!

ulishazoe kula kwa shida ndugu, ila hukumtendea haki dada wa watu...... mlipewa bure nanyi toeni bure... huku kubaniana mpaka lini???? inanikumbusha nilivyojisikia one day nilivyokuwa na shida nacho nikannyimwa!!!
 
back to the topic!si ajabu jamaa kukutwa na hali hiyo!hata simba akiwa kakaa halafu swala akamkimbilia mbio kumfuata alipokaa simba mwenyewe anaweza toka nduki!sisi ni wawindaji tangu hapo mwanzo!tunapenda tukimbize hata kama ni mbio fupi ndio turarue!hata hivyo nyakati zinabadilika nasi tunapaswa kubadilika maana hata simba wa kufugwa hupelekewa nyama tena kwa kilo!
 
Kwanza haijawahi kunitokea,huu ni ukweli.Alivyoniambia nilihisi miguu ikilegea! Nilikutana na dada huyu akaniambia ni Mkenya. . . Akaniuliza kama ni mwenyeji hapa Mwanza nikamwambia ndio.

Akaniomba nimsaidie kumpeleka baadhi ya maeneo fulani hivi, nilimpeleka. . . Wakati nakutanana nae jana ilikua saa 8 mchana.

Nilimpa msaada aliouhitaji kwani jana jumapili sikua na kazi nilimaliza mizunguko yangu mapema,na ilipofika saa 11 jioni akawa amekamilisha kazi yake akaniambia anataka akanywe juisi,nikampeleka,wakati tunakunywa ndipo akaniambia "(akinitaja jina kwani nilimwambia). . . .

Nakushukuru kwa msaada ila ningefurahi kama tungeenda ukani. . .(akataja tendo la ndoa bila tafsida) nitafurahi zaidi na nitaona nimekushukuru vizuri"!!!!

Kwanza juisi niliyotaka kuimeza ilinikaba,kisha nikaduwaa!Nilikosa la kusema kisha nikagundua miguu imelegea!Ilibidi nikurupuke. . . Eeeeee. . Mmmmmm thanks,usijali nimekusaidia tu dada!!

Alijitahidi kunisihi mwishowe ikabidi nimpe excuse ya ugonjwa akanielewa japokuwa hakuridhika!Nilitamani nimdanganye nimeoa lakini wakati tuko kwenye mizunguko aliniuliza kama nimeoa nilimwambia ukweli kuwa sijaoa!Dah nimejiuliza sana kwa taharuki ile ilisababishwa na nini sipati jibu.

Sijui ni kwa kuwa sipo kwenye mahusiano muda mrefu!Yaani na umri hu wa miaka 3.... kidogo nionekane katoto. . .Lol! Jamani wadada wamebadilika unapokutana nae jiandae kwa lolote!!!!Dada huyu anaondoka leo mchana na Akamba!!

nahisi kwa sababu alikuwa mkenya angekuwa mbongo ungemwacha kweli namashaka na hilo
 
Kipipi taratibu mama duh!Wanawake wa kuoa wanapatikana wapi?
 
Last edited by a moderator:
Eiyer mbona nyie hua mnaomba ghafla ghafla tu?au nyie mkiomba ni sawa ila mkiombwa ajabu?anhaa mi siwaelewi ati!

Hakuna shida katika kuombwa au kuomba.. Sasa ndio useme kabisa twende UKANI.....NANIHII jamani? Au sijaelewa vizuri mie.....lol.
 
to prove the point..insecure men are scared of an assertive woman!kama asingekuwa na self esteem issues asinge shangaa kuombwa sukari!
 
Back
Top Bottom