Kwanza haijawahi kunitokea,huu ni ukweli.Alivyoniambia nilihisi miguu ikilegea! Nilikutana na dada huyu akaniambia ni Mkenya. . . Akaniuliza kama ni mwenyeji hapa Mwanza nikamwambia ndio.
Akaniomba nimsaidie kumpeleka baadhi ya maeneo fulani hivi, nilimpeleka. . . Wakati nakutanana nae jana ilikua saa 8 mchana.
Nilimpa msaada aliouhitaji kwani jana jumapili sikua na kazi nilimaliza mizunguko yangu mapema,na ilipofika saa 11 jioni akawa amekamilisha kazi yake akaniambia anataka akanywe juisi,nikampeleka,wakati tunakunywa ndipo akaniambia "(akinitaja jina kwani nilimwambia). . . .
Nakushukuru kwa msaada ila ningefurahi kama tungeenda ukani. . .(akataja tendo la ndoa bila tafsida) nitafurahi zaidi na nitaona nimekushukuru vizuri"!!!!
Kwanza juisi niliyotaka kuimeza ilinikaba,kisha nikaduwaa!Nilikosa la kusema kisha nikagundua miguu imelegea!Ilibidi nikurupuke. . . Eeeeee. . Mmmmmm thanks,usijali nimekusaidia tu dada!!
Alijitahidi kunisihi mwishowe ikabidi nimpe excuse ya ugonjwa akanielewa japokuwa hakuridhika!Nilitamani nimdanganye nimeoa lakini wakati tuko kwenye mizunguko aliniuliza kama nimeoa nilimwambia ukweli kuwa sijaoa!Dah nimejiuliza sana kwa taharuki ile ilisababishwa na nini sipati jibu.
Sijui ni kwa kuwa sipo kwenye mahusiano muda mrefu!Yaani na umri hu wa miaka 3.... kidogo nionekane katoto. . .Lol! Jamani wadada wamebadilika unapokutana nae jiandae kwa lolote!!!!Dada huyu anaondoka leo mchana na Akamba!!
Kwanza haijawahi kunitokea,huu ni ukweli.Alivyoniambia nilihisi miguu ikilegea! Nilikutana na dada huyu akaniambia ni Mkenya. . . Akaniuliza kama ni mwenyeji hapa Mwanza nikamwambia ndio.
Akaniomba nimsaidie kumpeleka baadhi ya maeneo fulani hivi, nilimpeleka. . . Wakati nakutanana nae jana ilikua saa 8 mchana.
Nilimpa msaada aliouhitaji kwani jana jumapili sikua na kazi nilimaliza mizunguko yangu mapema,na ilipofika saa 11 jioni akawa amekamilisha kazi yake akaniambia anataka akanywe juisi,nikampeleka,wakati tunakunywa ndipo akaniambia "(akinitaja jina kwani nilimwambia). . . .
Nakushukuru kwa msaada ila ningefurahi kama tungeenda ukani. . .(akataja tendo la ndoa bila tafsida) nitafurahi zaidi na nitaona nimekushukuru vizuri"!!!!
Kwanza juisi niliyotaka kuimeza ilinikaba,kisha nikaduwaa!Nilikosa la kusema kisha nikagundua miguu imelegea!Ilibidi nikurupuke. . . Eeeeee. . Mmmmmm thanks,usijali nimekusaidia tu dada!!
Alijitahidi kunisihi mwishowe ikabidi nimpe excuse ya ugonjwa akanielewa japokuwa hakuridhika!Nilitamani nimdanganye nimeoa lakini wakati tuko kwenye mizunguko aliniuliza kama nimeoa nilimwambia ukweli kuwa sijaoa!Dah nimejiuliza sana kwa taharuki ile ilisababishwa na nini sipati jibu.
Sijui ni kwa kuwa sipo kwenye mahusiano muda mrefu!Yaani na umri hu wa miaka 3.... kidogo nionekane katoto. . .Lol! Jamani wadada wamebadilika unapokutana nae jiandae kwa lolote!!!!Dada huyu anaondoka leo mchana na Akamba!!
Mkipewa hamtaki,msipopewa mnachonga na matusi juu!sasa mwatakaje wababa??
Kwanza haijawahi kunitokea,huu ni ukweli.Alivyoniambia nilihisi miguu ikilegea! Nilikutana na dada huyu akaniambia ni Mkenya. . . Akaniuliza kama ni mwenyeji hapa Mwanza nikamwambia ndio.
Akaniomba nimsaidie kumpeleka baadhi ya maeneo fulani hivi, nilimpeleka. . . Wakati nakutanana nae jana ilikua saa 8 mchana.
Nilimpa msaada aliouhitaji kwani jana jumapili sikua na kazi nilimaliza mizunguko yangu mapema,na ilipofika saa 11 jioni akawa amekamilisha kazi yake akaniambia anataka akanywe juisi,nikampeleka,wakati tunakunywa ndipo akaniambia "(akinitaja jina kwani nilimwambia). . . .
Nakushukuru kwa msaada ila ningefurahi kama tungeenda ukani. . .(akataja tendo la ndoa bila tafsida) nitafurahi zaidi na nitaona nimekushukuru vizuri"!!!!
Kwanza juisi niliyotaka kuimeza ilinikaba,kisha nikaduwaa!Nilikosa la kusema kisha nikagundua miguu imelegea!Ilibidi nikurupuke. . . Eeeeee. . Mmmmmm thanks,usijali nimekusaidia tu dada!!
Alijitahidi kunisihi mwishowe ikabidi nimpe excuse ya ugonjwa akanielewa japokuwa hakuridhika!Nilitamani nimdanganye nimeoa lakini wakati tuko kwenye mizunguko aliniuliza kama nimeoa nilimwambia ukweli kuwa sijaoa!Dah nimejiuliza sana kwa taharuki ile ilisababishwa na nini sipati jibu.
Sijui ni kwa kuwa sipo kwenye mahusiano muda mrefu!Yaani na umri hu wa miaka 3.... kidogo nionekane katoto. . .Lol! Jamani wadada wamebadilika unapokutana nae jiandae kwa lolote!!!!Dada huyu anaondoka leo mchana na Akamba!!
nahisi kwa sababu alikuwa mkenya angekuwa mbongo ungemwacha kweli namashaka na hilo
Mh ! Cheki na docta inawezekana unakaupungufu flani mwilini kwanini ulegee ? opportunity never come twice my friend. kwa taarifa yako wanatupenda sana wanaume wa tz wanasema tunijua shuguli sawasawa ,kuna mmoja nilikutana nae nairobi kila siku ananisumbua anataka kuja Tz kisa anakumbuka shughuli niliyompa eti akasema mpaka "chupa yake" ikapasuka akamwaga mimaji kitandani mi sijui wadau wanaijua hii kama ni kweli nijuzeni.
kwani mdada kukuomba ni tatizo?
mbona nyie wanaume mnatuomba?
sie tukiwa na shida na iyo kitu mnaona isue sio mbona sisi sometimes tunawapa mkituomba... hukumfanyia fair kwa kweli ...
ndo maana mimi huwa simpi mtu...
sipewi na mimi sitoi
Kwanza haijawahi kunitokea,huu ni ukweli.Alivyoniambia nilihisi miguu ikilegea! Nilikutana na dada huyu akaniambia ni Mkenya. . . Akaniuliza kama ni mwenyeji hapa Mwanza nikamwambia ndio.
Akaniomba nimsaidie kumpeleka baadhi ya maeneo fulani hivi, nilimpeleka. . . Wakati nakutanana nae jana ilikua saa 8 mchana.
Nilimpa msaada aliouhitaji kwani jana jumapili sikua na kazi nilimaliza mizunguko yangu mapema,na ilipofika saa 11 jioni akawa amekamilisha kazi yake akaniambia anataka akanywe juisi,nikampeleka,wakati tunakunywa ndipo akaniambia "(akinitaja jina kwani nilimwambia). . . .
Nakushukuru kwa msaada ila ningefurahi kama tungeenda ukani. . .(akataja tendo la ndoa bila tafsida) nitafurahi zaidi na nitaona nimekushukuru vizuri"!!!!
Kwanza juisi niliyotaka kuimeza ilinikaba,kisha nikaduwaa!Nilikosa la kusema kisha nikagundua miguu imelegea!Ilibidi nikurupuke. . . Eeeeee. . Mmmmmm thanks,usijali nimekusaidia tu dada!!
Alijitahidi kunisihi mwishowe ikabidi nimpe excuse ya ugonjwa akanielewa japokuwa hakuridhika!Nilitamani nimdanganye nimeoa lakini wakati tuko kwenye mizunguko aliniuliza kama nimeoa nilimwambia ukweli kuwa sijaoa!Dah nimejiuliza sana kwa taharuki ile ilisababishwa na nini sipati jibu.
Sijui ni kwa kuwa sipo kwenye mahusiano muda mrefu!Yaani na umri hu wa miaka 3.... kidogo nionekane katoto. . .Lol! Jamani wadada wamebadilika unapokutana nae jiandae kwa lolote!!!!Dada huyu anaondoka leo mchana na Akamba!!
Dah!Sijawahi kuomba ghafla ndo maana sijazoea kutoa ghafla!