Kaka Pekee
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 336
- 567
Nyumba nzima wametoka kwenye sherehe Leo Tanga wanarudi kesho jioni. Nikiwa naangalia Aljazeera, dada yetu wa kazi amekuja sebleni kutoka chumbani kwake anahema. Yupo na kanga moja tu anasema, eti akilala Mchana Chumbani kwake kuna kitu kinampuliza miguu hivyo anaogopa. Alikuwa anaomba nikakifukuze.
Nimetumia dakika mbili kutafakari nikajisemea moyoni. Kama imani yangu ingekuwa kubwa kama mbegu ya haradani. Ningekiambia hicho kitu toka usimpuulize dada miguu na kingenitii.
Lakini kwa kuwa sina imani hiyo acha nikapambane nacho. Muda huu nimetoka kufunga geti kuu. Baada ya hapo ninaenda chumbani kuomba roho ya ujasiri.
Nataka nikapambane na hicho kitu kinachompuliza miguu dada mpaka anashindwa kulala.
Nitapambana nacho kwa kila namna. Na ikiwezekana nitakaa chumbani kwa dada wa kazi kumlinda mpaka Wengine watakaporudi kesho .
" Niombeeni ndugu zangu.
Nimetumia dakika mbili kutafakari nikajisemea moyoni. Kama imani yangu ingekuwa kubwa kama mbegu ya haradani. Ningekiambia hicho kitu toka usimpuulize dada miguu na kingenitii.
Lakini kwa kuwa sina imani hiyo acha nikapambane nacho. Muda huu nimetoka kufunga geti kuu. Baada ya hapo ninaenda chumbani kuomba roho ya ujasiri.
Nataka nikapambane na hicho kitu kinachompuliza miguu dada mpaka anashindwa kulala.
Nitapambana nacho kwa kila namna. Na ikiwezekana nitakaa chumbani kwa dada wa kazi kumlinda mpaka Wengine watakaporudi kesho .
" Niombeeni ndugu zangu.