Dada tuliekutana Mwenge please nitafute

Tatizo lako inaonyesha hujiamini Mkuu ndio maana hata kwenye posti yako hapa umetafuta huruma za huyo mrembo kwa kujimwambafai Sana.
Siku hizi hizo gear warembo hawazipendi kabisa kwa sababu wengi tunawadanganya uhalisia wetu then wanakuja kushtuka when is too late.
 
Labda kama ulikuwa unatumia kitochi, ilà kama ilikuwa android/iOS, unapotezaje contacts wakati namba zinaseviwa huko Google account. Ukinunua dimu mpya na ku-register Google account kila kitu kinarudi na majina yote, drive indkuletea picha zote nk.

Upo dunia ipi mkuu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…