REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,451
- 9,373
Habari za asubuhi wadau,
Natumai mpo salama na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa na mahusianoNirudi kwenye mada hapa nipo kwenye usafiri ila imezuka mada hii wamama wawili wanavutana mmoja anasema bora mume mlevi unajua kabisa baba furani yupo bar na unaweza jua bar ipi anapendelea, ila mume malaya utambulia kuona watoto tu unaletea kila siku anakwambia hana pesa mnaweza kuishia kukopa tu ukidhani mwenzako kweli hana pesa kumbe pesa anapata zinaishia kwa bi ndogo usiye mjua
Eti dadaz ebu tuambieni ule ukweli tunajua ulevi siyo dili wala umalaya siyo dili ila imetokea sasa utachagua yupi mlevi au malaya
Natumai mpo salama na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa na mahusianoNirudi kwenye mada hapa nipo kwenye usafiri ila imezuka mada hii wamama wawili wanavutana mmoja anasema bora mume mlevi unajua kabisa baba furani yupo bar na unaweza jua bar ipi anapendelea, ila mume malaya utambulia kuona watoto tu unaletea kila siku anakwambia hana pesa mnaweza kuishia kukopa tu ukidhani mwenzako kweli hana pesa kumbe pesa anapata zinaishia kwa bi ndogo usiye mjua
Eti dadaz ebu tuambieni ule ukweli tunajua ulevi siyo dili wala umalaya siyo dili ila imetokea sasa utachagua yupi mlevi au malaya