Dada poa anataka nimuoe

Dada poa anataka nimuoe

functional

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2018
Posts
738
Reaction score
794
Habari za muda huu wadau; bila kupoteza muda niende kwenye mada! katika pitapita zangu wikiendi iliyopita nikabahatika kuopoa dada poa bei yake haikuwa mbaya sana nililala naye usiku mzima kwa sh elfu 10,000 tu, na kwakuwa nilikuwa nimelewa sana sikukumbuka hata kutumia kinga.

Cha ajabu asubuhi hataki niondoke anadai hajawahi kukutana na mwanaume anaejua mapenzi kama mimi, kwahiyo anataka nimuoe. Kiukwel amenipenda sana maana ananipigia simu kila mara, anasema nisipomuoa atajiua.

Kwahiyo wadau nipo njia panda, nimkubalie au nikatae? Naombeni ushauri wana jamii wenzangu.
 
IMG_8105.jpg

Ha!! Bila kinga tena
 
Habari za muda huu wadau; bila kupoteza muda niende kwenye mada! katika pitapita zangu wikiendi iliyopita nikabahatika kuopoa dada poa bei yake haikuwa mbaya sana nililala nae usiku mzima kwa sh elfu 10000 tu. na kwakuwa nilikuwa nimelewa sana sikukumbuka hata kutumia kinga. cha ajabu asubuhi hataki niondoke anadai hajawahi kukutana na mwanaume anaejua mapenz kama mimi. kwahiyo anataka nimuoe kiukwel amenipenda sana maana ananipigia simu kila mara anasema nisipomuoa atajiua so wadau nipo njia panda nimkubalie au nikatae. naombeni ushauri wana jamii wenzangu:
Acha ujinga wewe! Huyo ndiyo mwanamke sasa wa ndoto zako. Oa mara moja ili muishi maisha yenu bora kabisa.
 
utakua zuzu ukimuamini maana wenzio wanagusa tu kwa dada poa hatukamii magonjwa.
Kigamboni kuna maza alikua anajiuza uwanja wa shababi karibu na qualitas polyclinic kapanda sana hewani alaf ana mguu na tako la kwenda bas mm nkampeleka mtu pale akapime nipo nje namsubiri bi maza akapita akaniona juu ya pikipiki akauliza we boda nkaitikia skutaka kukataa kubeba ule mzigo njiani nampeleka kwake nkalitest skujua hata kama anajiuza bas akafunguka na akanipangia dau 15k tu usiku kucha nkachukua namba na nkamchana nimemleta dem wangu apime anaumwa akanipanga siku nikiwa huru naweza mchukua nipige simu tu.

Siku nikalikumbuka nkalicheki likatiki nkalipanga lije home nlikua huru kwenye kupiga show alinifundisha kitu kwanza aliniuliza nipo tayar kupima pale pale skusita nkamwaga damu na yy akapima kaenda kuoga karud mstar ushatoka bas tukawa huru na akanielekeza dem anaejiuza sio wa kumkamia maana aliniona nina mchecheto.
Kiufupi ananiambia ashakutana na ndonga za kila aina hivyo fanya kwa starehe maana ukijikuta konki wapo waliokupika.
nilikubal sana show yake nakumbuka nlishasafiri nae kwenda singida akawa ananisubiri hotel muda wote nipo kwenye mishe nikitoka naloweka alifurah sana mpka now nabutua nikitaka tu alaf kiroho safi.
 
Habari za muda huu wadau; bila kupoteza muda niende kwenye mada! katika pitapita zangu wikiendi iliyopita nikabahatika kuopoa dada poa bei yake haikuwa mbaya sana nililala nae usiku mzima kwa sh elfu 10000 tu. na kwakuwa nilikuwa nimelewa sana sikukumbuka hata kutumia kinga. cha ajabu asubuhi hataki niondoke anadai hajawahi kukutana na mwanaume anaejua mapenz kama mimi. kwahiyo anataka nimuoe kiukwel amenipenda sana maana ananipigia simu kila mara anasema nisipomuoa atajiua so wadau nipo njia panda nimkubalie au nikatae. naombeni ushauri wana jamii wenzangu:
Acha upumbavu.

Kwanza hakuna malaya anakubali kulala kwa 10K umetupiga hapa .

Tulirudi kwenye maisha ya kawaida hadi inafika mahali unaona mwanamke anajiuza ipo sababu nyuma ya pazia kuna sababu iliyosababisha awe hivyo.

Maamuzi ya kuoa ni ya kukimbilia.

Ila mimi nakuchojua wanawake malaya wengi wamekuwa marafiki zangu wa damu.

Kwa kuwa si wachukulii kama wanaojiuza.

Na nimeweza wasaidia katika mengi.
 
Hebu tuma namba zake za sim na picha yake tumuulize kama ataendelea kua muaminifu.

Picha itatufanya tusijetukamuomba hifadhi shemeji yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom