Dada Nakaaya: Kweli siasa ni mchezo mchafu

Dada Nakaaya: Kweli siasa ni mchezo mchafu

Wasanii wetu nadhani tunawafahamu! Tumbo kwanza, reasoning baadae! Maana unajiuliza kama

siasa hakuwa mwanasiasa kweli kuna haja gani ya kiji-identify na chama flani? Si bora angebakia

mwanamziki tuu?
mkuu wengi sana hata elim zao nizautata kwahiyo msiwashangae tunhitaj watu kama bonta n roma mkatolik waende kwao wakafanye M4C mana wao na wale vijj vya mtwara,lind na Tanga hakuna tofaut
 
alikuja na kupotea kama harufu ya ushuzi...
Ona kitambi kile.....
 
Huyu ni dada yake na Siyoi Sumari (mtoto wa ba mdogo) Kweli alikuwa mwanaharakati muhimu sana ila familia yake yote ni ccm. Aliahidiwa na marehemu Solomon pamoja na EL kwamba arudi ccm kwa ahadi ya kupenyezwa kama kina Vicky Kamata, sasa uchaguzi wa 2010 ulipoisha mzee Sumari ambaye alikuwa middleman wa Nakaaya kuingia patakatifu akaugua, hapo mambo yakawa mrama kwa Nakaaya.



Nareero Nsuri.
Sambura huuu amepotea denyi
 
Labda amerudi kwenye kazi yake ya zamani ya uchangudoa pale masai camp.
Nakumbuka wakati anaishi kijenge kwa bibi yake alikuwa anajirusha masai camp


Alikuwa ameajiriwa na kampuni ya Utalii ya Unique Safaris, akagombana na kimada cha boss akatema Kazi.
 
mbona siku hizi hawa dada zetu wanakuwa na mashepu ya ajabu ajabu? tena wana vitambi mbaya

Tena wameharibika ile mbaya... Minyama ka ya bucha... njaa mbaya.... kazi kula kula tu... kaharibika kweli... hata bure simtaki... tuuuuuuuup....
 
IMG_0864.JPG


Mie mdada akishajipiga machata kihivi ananifanya nihisi ni mtumiaji wa msuba, sasa huyu naye niaje?



Nenda Duluti Lake ukimkuta utajua kama anatumia kiasi gani
 
Nani alimpiga chupa usoni?nadhani ni mlevi habitual
 
ama kweli ccm ni mashetani,wamemsahau mdada wa watu looooh
 
Alikuwa juu kimuziki akaamini anaweza kuwashika wabongo ktk Siasa but si mwanasiasa coz alipoona tu tia maji Tia maji kwenye viti maalum cdm then akaenda magamba Kumbe ndio Kulosti kwenyewe. Siasa hatakiwi unafiki.
 
Comment zenu wana JF ktk hii thread zimenichekesha sana, ila inatosha wadau, msameheni yeye ni binadamu.
 
Huyu dada ilipoimba wimbo wa Mr Politician nilijua sauti za waimbaji wetu sasa ni chachu ya ukombozi, akapokea kadi ya CHADEMA, kama mwanachama, mara akaja akairudisha kwa JK akiwa Arusha ati mwana mpotevu amerudi nyumbani.....sasa amepotea kabisa na hasikiki tena, leo nimekutana na hii picha yake nikakumbuka yaliyopita....

http://2.bp.blogspot.com/-B-pYNDBoESU/T6RhW7Vpa_I/AAAAAAAAS7c/CrymtlzpLCE/s1600/IMG_0864.JPG

Atakuwa chakula sasa ya vibopa wa magamba wenye gamba nene
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom