Dada au kaka wa kazi wapo

Dada au kaka wa kazi wapo

Habari zenu wana jf , nimatumaini yangu kuwa muwazima..

Kwa yeyote mwenye uhitaji Wa mfanyakazi wa nyumbani ani pm. Nitamletea.. Ni waaminifu na wachapakazi . mkoa wowote ule ulipo utaletewa...
Mshahara kuanzia 50000 na kuendelea kulingana na ugumu wa kazi ulizonazo.

Mashariti ni kwamba ukimtesa na kumnyanyasa kama wanavyofanya watu wengine nitakuchukulia hatua za kisheria dhidi ya kitendo ulichofanya.
Aksanteni naomba kuwasilisha
HUMAN TRAFFICKING????????
 
Aksanteni sana wandugu... Nipo kwenye majaribio tu kwanza ... Nikikamilisha full registration nitawataarifu.. ..maana haya mambo sitaki nifanye kienyeji tuu.. Kwani hawa pia ni watumishi na wanahaki kama mwajiliwa yeyote yule... Nishaanza process za kujisajil kama dalali. Nazitakamilika soon...
 
Na kwa taarifa tu siyo watoto wadogo ni wadada na wakaka kuanzia miaka 18.kwwnda juu na baadhi yao ni wanaujuzi na uzoefu wa kazi hiyo...
 
Na kwa taarifa tu siyo watoto wadogo ni wadada na wakaka kuanzia miaka 18.kwwnda juu na baadhi yao ni wanaujuzi na uzoefu wa kazi hiyo...

Toa basi namba yako...
 
Haitatokea kiongozi... Kwani hataruhusiwa kuacha kazi kabla mwaka haujaisha.. Kwani mkataba ndo kila kitu.. Vinginevyo kuwepo na sababu muhimu zisizoepukika . hivyo kuwa na amani mkuu
akitoroka namapata wapi?
 
Toa basi namba yako...
YNNAH, I have a terrible experience with these people from the same Kigoma. It happened that way and no house girl was received after sending 100,000 Ths as bus fare from Kigoma, be careful!
 
We
wengi wa Hawa watu wanafanya biashara anamleta kwako unalipa ujira wake kesho ukirudi humkuti. Ukimpigia simu anadai kusikitika ila anakuhaidi kuleta mwingine. Kabla hujasituka Fedha inateketea
 
YNNAH, I have a terrible experience with these people from the same Kigoma. It happened that way and no house girl was received after sending 100,000 Ths as bus fare from Kigoma, be careful!

Asante kwa tahadhari...
 
We

wengi wa Hawa watu wanafanya biashara anamleta kwako unalipa ujira wake kesho ukirudi humkuti. Ukimpigia simu anadai kusikitika ila anakuhaidi kuleta mwingine. Kabla hujasituka Fedha inateketea
Wadada wa kazi ni shida
 
hii ni biashara haramu kijana..
usafirishaji wa binadamu hata kimataifa ni kosa kisheria.
ila m napita tu, ukiwashiwa moto utani PM nkushauri.
 
Back
Top Bottom