Habari zenu wana jf , nimatumaini yangu kuwa muwazima..
Kwa yeyote mwenye uhitaji Wa mfanyakazi wa nyumbani ani pm. Nitamletea.. Ni waaminifu na wachapakazi . mkoa wowote ule ulipo utaletewa...
Mshahara kuanzia 50000 na kuendelea kulingana na ugumu wa kazi ulizonazo.
Mashariti ni kwamba ukimtesa na kumnyanyasa kama wanavyofanya watu wengine nitakuchukulia hatua za kisheria dhidi ya kitendo ulichofanya.
Aksanteni naomba kuwasilisha
Kwa yeyote mwenye uhitaji Wa mfanyakazi wa nyumbani ani pm. Nitamletea.. Ni waaminifu na wachapakazi . mkoa wowote ule ulipo utaletewa...
Mshahara kuanzia 50000 na kuendelea kulingana na ugumu wa kazi ulizonazo.
Mashariti ni kwamba ukimtesa na kumnyanyasa kama wanavyofanya watu wengine nitakuchukulia hatua za kisheria dhidi ya kitendo ulichofanya.
Aksanteni naomba kuwasilisha